Kirchhoff
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,370
- 7,612
Kuna wakati Mwaka 2019 nilitumia TCL TV ikiwa na builtin Decorder DVB T/T2 na ilikuwa nikiunga antenna napata channel mbalimbali Bure. Ni muda Sasa TV hiyo Toka iharibike. Sasa katika uchunguzi naambiwa hizo channel Sasa hazipatikani zimezuiliwa na Serikali.
Hivi Sasa Kuna TV nyingi sana zimeingia sokoni zikiwa na features nyingi Zaidi ikiwemo Smart TV zenye DVB T2/S2 ambazo ukiwa na antenna au Dish ungeweza kupata channel nyingi Bure.
Hali si hivyo kwa Soko la Tanzania ambapo unagharamika kununua Smart TV yenye DVB T2/ S2 lakini hufaidi hiyo feature.
Je serikali imeshindwa Kuwa Bunifu na kuwawezesha watanzania kutumia feature hizi bila kulazimika kununua Decorder nyingine?
Soko La Tanzania ni Huria hivyo mtu angeweza Kuwa na machaguzi mawili
1. Kununua TV ya Kawaida Kisha aongeze kingamuzi na alipie channels au
2. Anunue Smart TV DVB T2/S2 kwa gharama Zaidi na afaidi Channels zitakazopatikana.
Tunaomba Serikali Mliangalie na hilo Kukusaidia Sisi Wapend technology kwani si vizuri kwa na TV yenye Features ambazo hutumii.
Hivi Sasa Kuna TV nyingi sana zimeingia sokoni zikiwa na features nyingi Zaidi ikiwemo Smart TV zenye DVB T2/S2 ambazo ukiwa na antenna au Dish ungeweza kupata channel nyingi Bure.
Hali si hivyo kwa Soko la Tanzania ambapo unagharamika kununua Smart TV yenye DVB T2/ S2 lakini hufaidi hiyo feature.
Je serikali imeshindwa Kuwa Bunifu na kuwawezesha watanzania kutumia feature hizi bila kulazimika kununua Decorder nyingine?
Soko La Tanzania ni Huria hivyo mtu angeweza Kuwa na machaguzi mawili
1. Kununua TV ya Kawaida Kisha aongeze kingamuzi na alipie channels au
2. Anunue Smart TV DVB T2/S2 kwa gharama Zaidi na afaidi Channels zitakazopatikana.
Tunaomba Serikali Mliangalie na hilo Kukusaidia Sisi Wapend technology kwani si vizuri kwa na TV yenye Features ambazo hutumii.