Slow jams - pini ipi ilikubamba

Slow jams - pini ipi ilikubamba

The secret garden---- quincy jones
Summer in the city---- quincy jones
 
Kilichosaidia R&B ya miaka ya kuanzia 1990 kuja early 2000 kuwa na the best artists na best songs of all times ni wao kurejea nyimbo za zamani na kuzifanyia sampling na kuziboresha na kuweka vionjo vyao na kuifanya iwe best.

Hii inasaidia sana katika creativity sababu unaanzia pale alipoishia aliyekutangulia kisha wewe unaboresha lazima ngoma itoke bomba. Hawa wa miaka hii wanafosi kujifanya wabunifu matokeo yake wanatutengenezea nyimbo za hovyo ambazo hazina hata ubora zaidi ya kelele nyingi.

Ukitazama nyimbo za era ya 1990 to 2000 earliest nyingi ni hit after hit. Na haikuitaji promo kuzifanya kupata wasikilizaji. Sisi wasikilizaji ndio tulikuwa tunazisubiria kwa shauku kubwa sana. Na zikitoka inakuwa si mchezo. Unapewa taarifa album inaandaliwa 2 years ndipo inakuwa released.
Naona wazee kina dre diddy 50 cents wamekuja na mashups mbili tatu kurudisha enzi zao ngoma zimetulia vijana wamezikubali
 
Noma sana. Naomba kuongezea kwamba ngoma hii ilibeba jina la Album. Kama kawaida Usher ngoma zake nyingi ametengeneza Jermaine Dupri ikiwemo hii ambayo pia ameandika "co-wrote" na Dupri.

Dupri amekuwa anamuweza sana Usher na ngoma nyingi zimeshinda grammy ikiwemo hii "confession" "My way" ,"You got it bad" isipokuwa "You remind me" ambayo imetengenezwa Bad boy kwa Diddy.

Utamu wa ngoma nyingi za Usher zinanogeshwa zaidi kwenye video ambapo huwa anaacha kuimba na anacheza kwa ustadi na ufundi mkubwa basi huwa ni burudani isiyo kifani. Tazama "Confession" mwishoni pale dogo anavyoshake na Amefican boots zake. Mwacheni huyu dogo ashinde grammy aisee.
Huyu jamaa dupri alikuwa anamuwezea pia mariah carey beats zake 🔥🔥🔥
 
Huyu jamaa dupri alikuwa anamuwezea pia mariah carey beats zake 🔥🔥🔥

Dupri ni legend mkuu. Kwa kumbukumbu zangu amewafanya watu kibao washinde Grammy including Lil Kim, Monica ngoma ya Monica & Brand "The boy is mine" ni mkono Dupri. Pia ameproduce debut album iliyowatambulisha Destiny Childs. Ni legend wa muda wote pia ni rapper na industry ya muziki ya U.S na dunia inamuheshimu sana huyu jamaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom