Strawbella
JF-Expert Member
- Mar 24, 2021
- 1,758
- 5,803
Nimeenda isikiliza. Actually amechukua kisehemu tu cha beat. Halafu yale mapigo ndio kayafanya ndio yamekuwa beat nzima.
Na Ashanti ndio kama ameisample ya Frankie kwa asilimia kubwa ni kama amecopy na kupaste yote. Ila uneona sasa zote zimetoka kali.
Yeah zote ni kali sana...

