Chivundu
Platinum Member
- Dec 17, 2012
- 9,665
- 13,432
Sana Mkuu.Experience nzurii sanaa Mkuu.
Sana Mkuu.Experience nzurii sanaa Mkuu.
Yeah, kujua anajua ila hayo mengine ni yake tu
Ni htar na nusuHii ngoma kwenye redio zetu za kishua za kitambo kama Sony, Aiwa, Kenwood unaweza fikiri spika zinachanika kwa mdundo wa hii ngoma. Ni noma beat la hii ngoma.
When you believe - Mariah Carey & Whitney Houston
Hahahahahah sio dhambi mtt anafaa huyoUmeanza mzee hapa hapa utakomaa upate mbususu. Anyway bonge la ngoma, nakumbuka Radio free Africa usiku wa mahaba.
Cry like me....Rainy days — Ashant ft Ja rule was a hit as well
Faith Evans - Never gonna let you go
HahahahHapo nimekula nimeshiba ugali dona, nyama ya kuchoma kilo moja , kachumbari iliyowekwa maparachichi, na nimeshushia lita moja ya mtindi mzito sana.
Halafu nikalala vizuri nikaamka saa nne usiku. Halafu mtoto wa mama mkwe yupo hapo pembeni kajilaza kizembe.
Naweka hii ngoma, halafu naanza kumlamba shingo ili kumuamsha. Akiamka kinawaka majirani watakesha na sisi kwa hiyo miguno.
Hahahah ukizielewa hizi mambo basi akina Latifa awasumbui kabisa.Daaaaaaaaahmwamba
we jamaa unazijua. Lazima ungoe pisi kali kwa kuzielewa hizi nyimbo. Maana hizi ni za kule R&B chamber of rare flavor.
Songi Kali Sana Hili....Craig David - Seven Days
Sade - By your sideFaith evans-soon as i get home