Alubati
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 6,770
- 15,518
How deep is ur loveJagged edge - promise
How deep is ur loveJagged edge - promise
Killing me softly - Fugees
Baby i'm gonna miss u - Milli Vanilli
Nikita - Elton John
Take my breath away - Berlin
Secret lovers - Atlantic Stars
Take a message to Mary - Beverly Brothers
Aint funny - JLo
Busted - Isley Brothers
Soul provider - Michael Bolton
Sexual healing - Marvin
These are my all time songz...

remix yake ni noma pia yupo p.diddy hatari sanaJagged edge ft Fabolous - Trade it all
Ana ile into youEnzi zake tozi sana![]()
Money cant buy me loveBlackstreet boys - Dont leave
Someone - SWV ft P. Diddy
Soul 4Real - If you want it
Sio eve?Ganstar lovin Alicia keys
When you believe - Mariah Carey & Whitney HoustonTell him - celine dion & barbara
So Frankie nae alisample?Hiyo nyimbo ya frankie naipenda sana kama inatia huruma fulani
Beat ame sample nyimbo ya isaac hayes the look of love
So Frankie nae alisample?
Dah ile ngoma imetulia sana. Nakumbuka naicheki miaka ya 1997 kama sio 1998 ITV siku ya nyimbo za R&B.
Dah jamaa nimemkubali sana katika ile song. Anambembeleza mtoto wa kike amuelewe. Ujumbe wake unakuja kama Benpol Nikikupata.
Kilichosaidia R&B ya miaka ya kuanzia 1990 kuja early 2000 kuwa na the best artists na best songs of all times ni wao kurejea nyimbo za zamani na kuzifanyia sampling na kuziboresha na kuweka vionjo vyao na kuifanya iwe best.Hiyo nyimbo ya frankie naipenda sana kama inatia huruma fulani
Beat ame sample nyimbo ya isaac hayes the look of love
Wimbo unaitwa Freak you,umeimbwa na 112.... wanna leak you up and down till you say stop... Sikumbuki ni wimbo gani nakumbuka hivyo vimaneno
Nimeenda isikiliza. Actually amechukua kisehemu tu cha beat. Halafu yale mapigo ndio kayafanya ndio yamekuwa beat nzima.Yes ile beat ni sampled
Nyimbo poa sana..
Kusema kweli hii nyimbo,
Kilichosaidia R&B ya miaka ya kuanzia 1990 kuja early 2000 kuwa na the best artists na best songs of all times ni wao kurejea nyimbo za zamani na kuzifanyia sampling na kuziboresha na kuweka vionjo vyao na kuifanya iwe best.
Hii inasaidia sana katika creativity sababu unaanzia pale alipoishia aliyekutangulia kisha wewe unaboresha lazima ngoma itoke bomba. Hawa wa miaka hii wanafosi kujifanya wabunifu matokeo yake wanatutengenezea nyimbo za hovyo ambazo hazina hata ubora zaidi ya kelele nyingi.
Ukitazama nyimbo za era ya 1990 to 2000 earliest nyingi ni hit after hit. Na haikuitaji promo kuzifanya kupata wasikilizaji. Sisi wasikilizaji ndio tulikuwa tunazisubiria kwa shauku kubwa sana. Na zikitoka inakuwa si mchezo. Unapewa taarifa album inaandaliwa 2 years ndipo inakuwa released.
Wimbo unaitwa Freak you,umeimbwa na 112