thetowerofbabel
JF-Expert Member
- Jul 17, 2010
- 336
- 525
Rainy days — Ashant ft Ja rule was a hit as wellAshanti - Rain on me
Rainy days — Ashant ft Ja rule was a hit as wellAshanti - Rain on me
Last time we made love - Tanya BlountKwa wale wa kizazi cha kabla ya Y2K watakumbuka miaka ya 90 hadi mwanzoni mwa 2k kulikuwa na nyimbo kali sana za R&B.
Kuna baadhi ya nyimbo ukisikiliza zinasisimua mpaka mifupa. Binafsi kuna ngoma moja ya Usher Raymond inaitwa " Nice & Slow" ilinikosha na still inanikosha.
Wewe wimbo gani ulikubamba?
Kwa wale wa kizazi cha kabla ya Y2K watakumbuka miaka ya 90 hadi mwanzoni mwa 2k kulikuwa na nyimbo kali sana za R&B.
Kuna baadhi ya nyimbo ukisikiliza zinasisimua mpaka mifupa. Binafsi kuna ngoma moja ya Usher Raymond inaitwa " Nice & Slow" ilinikosha na still inanikosha.
Wewe wimbo gani ulikubamba?
Spanish guitar was a hit as wellToni Braxton - Breath Again
Sana. Toni nina nyimbo zake karibu zote anajua sana.Spanish guitar was a hit as well
Nimeisikiliza nzuri ila Case kali zaidiNasubiria majibu
To the arms of the one who loves you - xcapeKwa wale wa kizazi cha kabla ya Y2K watakumbuka miaka ya 90 hadi mwanzoni mwa 2k kulikuwa na nyimbo kali sana za R&B.
Kuna baadhi ya nyimbo ukisikiliza zinasisimua mpaka mifupa. Binafsi kuna ngoma moja ya Usher Raymond inaitwa " Nice & Slow" ilinikosha na still inanikosha.
Wewe wimbo gani ulikubamba?
Mchawi bando tu mkuu ila watu wanazoDah uzi mtamu sana huu kwa sisi wadau wa 90s and early 2000s. Ghafla nmemkumbuka John Dilinga enzi hizo yuko 101.4 fm dah hatari. Good times are gone.
Natamani mdau mwenye access za hizi ngoma angekuwa anaziweka audio kuleta ladha ingawa zinapatikana mitandaoni ila kukiwa na link Hapa mtu unai pata fasta
Hii si ni ya juzi tu hapa brother mbona hauzingatii maelekezo
Mfano ni hivi
Chris Brown - Excuse me miss
Chris Brown - Say good bye


Nilipitiwa bossHahaha! Nimelenga mule muleNilikuwa nataka nishangae hadi sasa hakuna mtu kataja hii nyimbo?
Sanaaaa!!Nyimbo kali sana hii
Last time we made love - Tanya Blount
(Last time we made love) Hii ngoma kali sana ukiisikiliza kwa hisia unaweza kulia.
Vipi tukimleta Aaliyah wa "Age ain't nothing but a number" ya 1994 Sisi kizazi cha early 80"s tutaonaonekana vikongwe? Kuna pini za maana sana kwenye hii album!

Kuna washamba wanapost nyimbo ambazo sio slow jams

