kazikubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 597
- 145
Katika kipindi cha Epic Bongo Star Search, kijana mmoja aliyefanya vibaya sana akamfananisha na Yanga. Ati Yanga ni kawaida yao kufanya vibaya. Hiii, hiii mie nalia, kweli anatudharau hivi jamani, mzee Akilimali umemuona huyo binti, labda katumwa na Rage huyu.