Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,024
Wana chadema kubalini kwa hili mmefeli katika jiji la Arusha hakuna nguvu ya umma bali ni nguvu ya soda na viroba tu mikesha mliyotangaza ikowapi jaribuni kufikiri na kuacha kuropa
Member
Join Date : 7th November 2011
Posts : 13
Rep Power : 0