Slaa: Kikwete akipuuza nchi haitatawalika

KATIKA KUJENGA KATIBA SLAA ALIKUWA MNYONGE KAMA MBWA MFYATA MKIA. lEO ETI ANATAKA KUMHADHALIHA KIKWETE. Slaa ni hatari kudanganya watu kupita Kar Max na Angels walioleta ukomunisti duniani/


Ameweza kuwadanganya wachache tu lakini si umma wote wa watanzania.
 
Anaona kwamba yeye ndiye mwenye uwezo wa kutawala nchi hii ninachojiuliza mimi ni kwa vigezo gani anataka tumwamini huku akiwa amemnyang'anya mtu mke wake... je akiwa mkuu wa nchi si atawanyang'anya wengi?
 
Halafu naambiwa huyu ni kiongozi ndani ya Chadema!...
A successful CEO is not judged in absolute terms of being serious all times; sometime he has to make jokes with the employees. I think you understand what i mean.
 
A successful CEO is not judged in absolute terms of being serious all times; sometime he has to make jokes with the employees. I think you understand what i mean.
This isn't a joke why did U put Kardinali Pengo instead..Being a leader always watch your language..
 
Kinachosikitisha zaidi ni kwamba kiongozi wa nchi ambaye anatakiwa kuhakikisha usalama wa Watanzania hatatia neno kufuatia kuuawa kinyama kwa Watanzania hawa. Mwenyezi Mungu azilaze roho za marehemu mahali pema peponi~AMEN
Rais ni binadamu ana weakness zake kwa hili la kudharau roho za watanzania na kuelekea kwenye sherehe za chama tena sio cha Tanzania ninamlaumu, ila kuna baadhi ambayo ameanza kuonyesha anayafanyia kazi kama suala la katiba na posho kwa hilo hatuna budi kumpongeza.
 
Kwa haya yanayoendelea nchini na namna Jakaya anavyorespond kwa silence na safari, inabidi wananchi tumlazimishe DR kutoa kauli, sababu mimi nimeshindwa kuona sababu nyingine inayomfanya Jakaya kuwa failure namna hii.
 
Matatizo ya nchi hii, hatatokani na Dr. kutokubali uchakachuaji, bali ni baadhi yetu wananchi, ambao bado tunaendelea kuimba wimbo wa waoemu.
 
Toka Jakaya Kikwete atangazwe kibabe kuwa ndio mshindi wa ngazi ya Uraisi katika Uchaguzi Mkuu wa Mwaka Juzi na kisha kuapishwa haraka haraka katika Sherehe ambazo DR na CHADEMA kwa ujumla walizisusia kwa sababu mchakato wa uhesabuji wa Kura za Uraisi uligubikwa na mchakato wa usiri uliokuwa umejaa kila aina ya mashaka ya nini kilikuwa kinaendelea nyuma ya Pazia,
Serikali yake ni kama imepigwa laana sababu hakuna Jambo ambalo serikali hiyo inalifanya na likakamilika kwa manufaa ya UMA na wakati mwingine hata yale yanayofanyika kwa manufaa ya wachache yanaiweka serikali hiyo matatani katika namna inayotia aibu.

Serikali ya Jakaya imejaa mikosi kitu kinachopelekea ugumu wa maisha wa hali ya kutisha kutapakaa nchi nzima, vilio katika kila kona ya nchi, na yeye binafsi sasa ni kama vile anaona aibu au amekwisha ng'amua na madhira gani yameufika utawala wale, sababu kapoteza kabisa ujasiri wa kuthubutu kutoa maamuzi katika Jambo lolote lile, bila shaka akihofia mambo kuharibika dhaidi.

Nimeifikiria hali hii na nimeona ni vyema kutoa mchango wangu ili kulinuthuru Taifa na Matatizo, Namuomba DR SLAA aondoe kinyo'ngo alichonacho cha kupokwa Urais, Asamehe yote yaliyotokea, ajitie nguvu na kushusha Pumzi, atoe tamko, na Watanzania
wote wasikie kwamba Anamtambua Jakaya Mrisho Kikwete kuwa ni Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania mwenye dhamana harari ya kuliongoza Taifa hili.

Ninaamini kwamba hatua hii itampa Mwenzake wepesi wa kutuongoza kitu ambacho kitakuwa na manufaa kwa Watanzania wote.

NOSENSE..kama mambo hayaendi kwako usifikili ni kote FANYA KAZI ACHA KULALAMA KAMA DEMU.
 
Kwa haya yanayoendelea nchini na namna Jakaya anavyorespond kwa silence na safari, inabidi wananchi tumlazimishe DR kutoa kauli, sababu mimi nimeshindwa kuona sababu nyingine inayomfanya Jakaya kuwa failure namna hii.

Ndo alivyozaliwa ****** yule,mi nakubaliana na waliosema "NI CHAGUO LA MUNGU" labda MUNGU aliacha apite ili CCM imfie mikononi na wa TZ wapate ukombozi. coz anayoyafanya huyu mtu ni vituko visivyoendana na umri,hadhi na dhamana aliyopewa
 
Mimi nafikiri wengi wenu ni watoto wa juzi na hamjui swifa na tarbia na utamaduni wa waTz mliojijengea tokea awali.
Kwa kweli migomo haikuanzia leo wala jana huko Tanzania. Lakin kwa waliosoma UDSM enzi za mzee Punch kulikuwa na utamaduni wa kukaa meza moja pale nkurumah hall na kuzungumza pande zote zinazokinzani iwe kuanzia asubuhi mpaka usiku na baadae mnafikia muafaka na mambo yanakwenda.

Nafikiri ni vizuri mrudie kwenye mila na desturi moja za kukaa kitako na kuongea sio kutupiana ngumi wala matusi.

Kwangu mimi naifananisha kabisa JF kama Mzee Punch wa enzi hizo pale UDSM.

Nafikiri ushauri wako utamfikia mkulu ili akae kitako na wadau!
ila JF sio punch, ni jukwaa tu kutolea maoni!
Hivi ulikuwa mwanachama wa punch? Maana tulikuwa tukiuliza punch ni nani, kila mtu anasema hajui!
 
Dare to view the world differently broda and sisy.dare to see the vast see of opportunities out there and dare to find a job.
Government cant gives us our well deserved chocolate rivers,marshmallow clouds and tangarine skies EVEN IF SLAA IS THE PRESDENT.
If individiual are not willing to take their life into THEIR OWN HANDS then they are doomed.
People seem to forget that MAISHA BORA was never to be handed to you in a plate.it was SUPPOSSED TO BE EARNED BY HARDWORK,SWEATY AND BLOOD.
People like you bitching and moaning ABOUT HOW UNFAIR GOVERNMENT IS,OR HOW THE GOVERNMENT IS HOLDING YOU BACK BY THEIR POLICY,ARE PATHETIC.
 
Back
Top Bottom