Hata hivyo walichosahau hao watu wa lumumba maneno yake bado yamesimama .Siasa ni unafiki bila kuwa mnafiki hufiki popote.
Wakati huo Dr alikuwa adui mkubwa wa Lumumba baada ya kuhamia upande ule leo amekuwa lulu, lol.
Kweli maneno yanatabia ya kuishi leo yanaweza kusomeka "Magufuli akiupuuza UKUTA nchi haitatawalika".Hata hivyo walichosahau hao watu wa lumumba maneno yake bado yamesimama .
Kweli maneno yanatabia ya kuishi leo yanaweza kusomeka "Magufuli akiupuuza UKUTA nchi haitatawalika".
Hata ufipa walikuwa maadui wakubwa wa Lowassa, baada ya kuhamia kwao sasa hivi amekuwa kipenzi chao.Siasa ni unafiki bila kuwa mnafiki hufiki popote.
Wakati huo Dr alikuwa adui mkubwa wa Lumumba baada ya kuhamia upande ule leo amekuwa lulu, lol.
Bibie pumzi bado zipo ila jamaa anawapukutisha siyo kidogo.Mnahaha na mtamkumbuka sana Kikwete.
Ingieni mitaani mkione cha moto.
Mchango upitie kwa Kawambwa mkumbushe na mDAU mwenzetu.Hata ufipa walikuwa maadui wakubwa wa Lowassa, baada ya kuhamia kwao sasa hivi amekuwa kipenzi chao.
Maalim wangu naona umenisahau kidogo.Hata ufipa walikuwa maadui wakubwa wa Lowassa, baada ya kuhamia kwao sasa hivi amekuwa kipenzi chao.