Mkuu wakati unampiga picha...haukuwa na alcohol kichwani...???....na wakati unalisogelea halikuwa na movement yoyote...???....lisije likawa sanamu..mkuu...Nilitaka kumpelekea tairi nimponde lakini nikaghairi nikampiga picha
Mi ntajadili na buzi lako!
We ntakuharibu bure saa hii. Wakati hata hao samaki hujamwandalia Sugar dady wako.
Hapana mimi ni night patroller
Nilitaka kumpelekea tairi nimponde lakini nikaghairi nikampiga picha
Nilitaka kumpelekea tairi nimponde lakini nikaghairi nikampiga picha