Skinwalker Spotted In New Mexico

Skinwalker Spotted In New Mexico

Duh utakuwa na udugu na wachawi....!!!!
ukapata uwezo wa kukiona na kukipiga picha kitu kama icho????

Kiukweli napenda juju naupenda uchawi na natamani siku moja nipate PhD ya uchawi 1405747074042.jpg
 
Camera na shetani wapi na wapi?

Kuna automatic camera zenye sensor ambazo hutegwa mahali na kupiga picha chochote kitakachopita mbele ya lense ila ni ghali mno
 
Kuna automatic camera zenye sensor ambazo hutegwa mahali na kupiga picha chochote kitakachopita mbele ya lense ila ni ghali mno

Kwahiyo hii uletega ocean road wewe usalama wa taifa?
 
Kuna automatic camera zenye sensor ambazo hutegwa mahali na kupiga picha chochote kitakachopita mbele ya lense ila ni ghali mno

kwa hiyo mtani ulitegea huyo jini kamera?
aisee we noma ungetuomba radhi yaishe bana
 
Yeah uko sahihi na hapo ndo ugreat thinker unapoanzia usiwe driven na mazingira Bali stick kwenye uhalisia! Pasco Hii si utetezi wa kitoto hizi lugha usipende sana kuzitumia tujadiliane kwa hoja tukiweka lugha za kuudhi kashfa na matusi pembeni ndio hekima yetu itakapoonekana

Kwahiyo kudanganya umeona ndo kuwa great thinker?eti kidogo nimgonge nikaamua kumpiga picha,acha fiksi za kijinga we mtu mzima,huna haya kupost uwongo,jirekebishe mkuu unajishusha heshima
 
Kwahiyo kudanganya umeona ndo kuwa great thinker?eti kidogo nimgonge nikaamua kumpiga picha,acha fiksi za kijinga we mtu mzima,huna haya kupost uwongo,jirekebishe mkuu unajishusha heshima

Duuu Viol kama bado nawewe hujaelewa tuu siwezi kubishana zaidi but becoming a real great thinker is not that easy
 
kwa hiyo mtani ulitegea huyo jini kamera?
aisee we noma ungetuomba radhi yaishe bana

Aisee kuna watu wanapenda kweli kuombwa radhi hebu establish grounds za kuomba radhi Mimi ni msikivu nitafanya hivyo !!hivi kwanini hamtaki kupanua ufahamu wenu ? Bongo zenu zina kazi gani !? Kwanini hamtaki kuzifikirisha ?
 
Back
Top Bottom