Skinwalker Spotted In New Mexico

Skinwalker Spotted In New Mexico

Ahahahah.....nacheka kama mazuri

Mkuu we cheka kwa raha zako!
Unajua kucheka kunaongeza umri!?

Halafu wanakuja hawa washkaji wanatukatia stimu hapa na habari zao za siasa!

Mi huwa spendi sana.
Wabongo nuksi!
 
Janjaweed kilichotokea ni watu kukurupuka na kupeleka mawazo yao Ocean road Dsm lakini kama ungepata nafasi ya kutafakari kidogo picha kama ile inahitaji automatic camera ambayo ni very powerful na yenye flash kunywa pia iangalie kwa kutulia utagundua mengi

Mkuu! We wala huna haja ya kuwaelekeza hawa washkaji wengine kitu.
We umeona, na sisi wengine tuliowahi kuona vibwengo km hivyo tunakuunga mkono!

Watu tunacheka kwa raha zetu hapa!
Anakuja mtu kukata Stimu!

Ohh acha uongo! Ohh mimi ntakushtaki kwa invisible!

Huyo invisible akikutana nae huyo kibwengo wa Nyakageni yeye mwenye atatoka baruti!

Fanya mchezo na kiumbe mwenye makalio mgongoni wewe!?

Km kuna mwingine katokea Mexico basi huyo atakuwa wakichina!
Huyu wa Ocean Road Ndo ORIGINAL!

Atakae kasirika Akafturu mapema!
Sisi wacha tudadavue hapa kuhusu huyu kibwengo Matola.
 
Last edited by a moderator:
Umekiri kuwa "halisi" sasa yanini unakuja kudanganya watu kuwe eti hiyo picha ni "Ocean road alfajiri hii"?

Uongo unakusaidia nini?

Hebu kuwa na fikara kidogo Faiza usiwe MTU wa kukariri soma tena heading kwa umakini Kisha tafakari
 
Asante sana FF!, hii inatusaidia sana tunapojadili serious issues humu unaweza kudhania unajadaliana na watu timamu, kumbe ni wengine ni vichaa hayawani wakubwa wasio hata haya!.Pasco

Pasco! Hayawani babu yako mwenye ugonjwa wa kutafuna upepo!

Mzee mataya yanamcheza km kala mbuguswa! Au utafkiri nyani kala makamilwa! Kumbe anatafuna hewa!

Kuwa na nidhamu wewe!
We si ulitutangazia miaka ile kuwa CUF imeshinda? Na Seif Shariff ndio RAIS!
Baadae Ukapigwa chini na muajiri wako kwa kusema UONGO!
Kuna mtu alikuita HAYAWANI? au Kichaa?

Acha zako we mwanamayyo!

Kichwa kirefu ka buti ya mgambo wa kihutu!
 
Pasco unatumia lugha ngumu bila sababu najua nimeudhi wengi kwakuwa walifikiri walivyitaka wa na si katika uhalisia wa habari yenyewe tujifunze kuwa great thinkers kwenye kila kitu

We unamuonea tabu wa nini huyu mshamba!?
We mpe za uso tu! Anatoa matusi hapa aliskia JF ya babake!

Nyambaff zake.
Ndo maana ana sura ya mviringo ka roundabout ya Clock Tower!

Tehe tehe tehe tehe.
 
Asante sana FF!, hii inatusaidia sana tunapojadili serious issues humu unaweza kudhania unajadaliana na watu timamu, kumbe ni wengine ni vichaa hayawani wakubwa wasio hata haya!.Pasco

Pasco pitia tena heading Kisha angalia tena picha the heading itself is tricky hapo ndo wengi wamefeli
 
Mods toeni huu uzushi faizafoxy kaweka link ya hiyo kitu Invisible ...... FaizaFoxy

Tafuta kazi ya kufanya wewe!
Nini kuingilia nyuzi za watu?

Hii milevi sijui imeibukia wapi?
Watu tulikuwa tuna dadavua fresh!

Minuksi imejaa sasa, inaharibu raha yote.
Ukute wengi wenu Wanga humu na huyo kwenye picha labda shemeji yenu, ndo maana mnakuja juu ka mmelipa kiingilio!

Kaa mbali. Pepo.
Shindwa....!
 
Last edited by a moderator:
attachment.php
 
Pasco nimekuelewa sana tuu lakini tujifunze kutafakari kila kitu nimesema ocean road lakinu sikusema ni wapi went I wakakumbilia kufikiri ni Obama rd , nimesema shetani fikiri nikwanini nisiseme kizuka mzimu au jini ? Kilichotokea hapa ni kwamba watu walifikia conclusion wanayotaka wao Vila kufikiri kwa kina
Pasco pitia tena heading Kisha angalia tena picha the heading itself is tricky hapo ndo wengi wamefeli
Mkuu Mshana, usijitetee kitoto!, kuna kitu kinaitwa "connotation meaning!" ni kile ambacho watu wa eneo husika watakirelate, mfano nikipandisha thread humu imeandikwa "JK Afumaniwa!" lengo langu ni kumaanisha "Juma Kengele", watu watakuja mbio kutokana na connotation meaning ya JK ni Jakaya Kikwete hadi watakaposoma details ndipo itaeleweka!. Unapoweka headline hii "Ocean road alfajiri Hii...live kabisa SHETANI", its automatically umetudrive kwenye connotation meaning tulioizoea!, na nimesisitiza sitatizwi na jokes za humu, bali the motive behind!.


Pasco
 
Mkuu Mshana, usijitetee kitoto!, kuna kitu kinaitwa "connotation meaning!" ni kile ambacho watu wa eneo husika watakirelate, mfano nikipandisha thread humu imeandikwa "JK Afumaniwa!" lengo langu ni kumaanisha "Juma Kengele", watu watakuja mbio kutokana na connotation meaning ya JK ni Jakaya Kikwete hadi watakaposoma details ndipo itaeleweka!. Unapoweka headline hii [h=2]"Ocean road alfajiri Hii...live kabisa SHETANI", its automatically umetudrive kwenye connotation meaning tulioizoea!, na nimesisitiza sitatizwi na jokes za humu, bali the motive behind!.[/h]
Pasco

Yeah uko sahihi na hapo ndo ugreat thinker unapoanzia usiwe driven na mazingira Bali stick kwenye uhalisia! Pasco Hii si utetezi wa kitoto hizi lugha usipende sana kuzitumia tujadiliane kwa hoja tukiweka lugha za kuudhi kashfa na matusi pembeni ndio hekima yetu itakapoonekana
 
Back
Top Bottom