FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
Hebu kuwa na fikara kidogo Faiza usiwe MTU wa kukariri soma tena heading kwa umakini Kisha tafakari
Umebadili utumbo wa habari yako baada ya mimi kuweka link na kukubaini kuwa ni muongo uliposema hiyo eti ni "ocean Road alfajiri hii" khaa! au ma moderator wamebadili, huna hata haya, kusema uongo.
Au wewe una undugu na moderator? au wewe mwenyewe ni moderator? maana hakuna hata "reason for editing" na ilhali utumbo na kichwa cha habari vyote vimedilisha, sitoshangaa kuona hata ile post yangu iliyokukamata uongo wako imechakachuliwa au imefutwa. Hii ndiyo JF na ujinga wa Kitanzania haukosekani hata kwenye ma moderator wa JF.
Sijui akina Invisible, Paw na PainKiller wanajuwa kinachotendeka? au ndio utumbo wa batch ya ma moderator wapya.