MADAM T
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 6,220
- 3,917
Mawazo ya kinjaa njaa kabisa!NNyie watumbuliwajwi mtaumia sana utawala huu. Utawala huu ni imara sana hauteteleki hata kidogo. Fanyeni kazi pesa za ovyo hazipo tena. TRA siku hizi hamna pesa za dili tena. Zamani nilikuwa nawaogopa sana wanaofanya kazi TRA lakini kwa sasa tunaheahimiana tu na Dada zetu hawawatombi tena ovyoovyo mana hela zimekata. Walimu walikuwa wanaonekana kama wasindikizaji lakini sasa hivi wanaheshimiwa mana wote almost wana income inayofanana. Heko magu umeleta usawa. There is low disparity of income levels.
