Sizonje usichanganyikiwe, Mambo bado!!

Sizonje usichanganyikiwe, Mambo bado!!

NNyie watumbuliwajwi mtaumia sana utawala huu. Utawala huu ni imara sana hauteteleki hata kidogo. Fanyeni kazi pesa za ovyo hazipo tena. TRA siku hizi hamna pesa za dili tena. Zamani nilikuwa nawaogopa sana wanaofanya kazi TRA lakini kwa sasa tunaheahimiana tu na Dada zetu hawawatombi tena ovyoovyo mana hela zimekata. Walimu walikuwa wanaonekana kama wasindikizaji lakini sasa hivi wanaheshimiwa mana wote almost wana income inayofanana. Heko magu umeleta usawa. There is low disparity of income levels.
Mawazo ya kinjaa njaa kabisa!
 
kocha mzembe analima mananasi tu.

ukipita Kurasini kuna sehemu 'alikichafua' wakati anajenga daraja ya kigamboni pasua miamba pasua vichuguu mwaga zege piga lami la maana ukipita pale unam feel like meeen, that was the man!

najuta kutomkubali Jakaya, anisamehe tu. Wish he does the Putin thing.




View attachment 446888
Du huyu msanii atakaacha haka kakuku ka kienyeji kweli?
[HASHTAG]#free maxencemelo[/HASHTAG]
 
Kwani unadhani hajaelewa?huoni anavomsumbua maxence,na atashindwa tu mpango wake
Huyo mtu anashughulikiwa kisheria hakuna katiba iliyovunjwa alafu kumtaja mtu kibinafsi kwenye jambo ambalo ni official inaonekana Una mapungufu kiitifaki.
 
Sizonje ni kocha asiyefuata sheria za mchezo, hata TFF wanamuogopa bora tumpeleke kumshtaki FA maana sheria mchezo haziheshimu kabisa,,,,, Czonje anakera na kiasi flani anakiubaguzi kama c wakutoka kule kwao au c wa dini yake huwezi kuwa Katik 11st eleven yake
Waliompa ukocha wanajuta!!!
 
Sizonje timu tuipime miaka mitano anavyoipeleka mwaka mmoja bado Roma haikujengwa siku moja
 
kocha mzembe analima mananasi tu.

ukipita Kurasini kuna sehemu 'alikichafua' wakati anajenga daraja ya kigamboni pasua miamba pasua vichuguu mwaga zege piga lami la maana ukipita pale unam feel like meeen, that was the man!

najuta kutomkubali Jakaya, anisamehe tu. Wish he does the Putin thing.




View attachment 446888
da hiyo mwanamama kushoto. Ni nani na wapi hapo?
 
sizonje,naona wachezaji hawakabi wala kushambulia,mmoja yule kule kalala chali,mwingine yule kipa,hapigi mpira mbele,kakalia kupiga danadana tu,mwingine yule beki anaenda kubadili bukta,aliyonayo imechanika kwa nyuma,bora ulimwambia IGP asimamishe mpira kwanza,hawa ukawa wanashambulia sana,na nina hisi wana njumu za chuma,wachezaji wetu kila wakiwakaba wanaumia
Dah nimecheka sana
 
Back
Top Bottom