Sizonje usichanganyikiwe, Mambo bado!!

Sizonje usichanganyikiwe, Mambo bado!!

Nilikuwa nimepanga kusoma tu ila wewe ni wa kujibibiwa. Hivo walioingia mikataba ya miaka 100 siyo hao wanaotupangia tuongozwe na nani ??!! Aliekuwa mkali kuhakikisha nchi inaongozwa na anayemtaka si huyo aliyegawa madini yetu kwa mrahaba wa 3percent tena kwa miaka 100 na ukipinga unakuwa mchochezi na kutafutiwa sababu.

Unamsaidia anayekubali ushauri na hata kukosolewa si anayedai kutokujaribiwa !!.

Watu kulia ni sawa kama watoto wetu hawasomeshwi kwa kigezo chochote tutaipenda je serikali iliyoleta tabaka la wengine wasomeshwe na wengine hapana. TETEA TU LAKINI UKWELI UNAO
Tumia lugha inayotumika kama sizonje, licha, timu, mpira, n. K. Leaning Uko nje ya lugha hiyo????
 
Mkuu Sizonje si unamjua majivuno yake!? Hata kwenda kutoa rambi rambi kwa wapenzi, wanachama na mashabiki wa timu yetu pendwa amekataa kwa kuwa yeye ni mtu wa matawi ya juu. Mashabiki wa timu yetu na timu rafiki na timu yetu kwa pamoja tulichanga pesa nyingi sana ili kuwasaidia wenzetu kocha Sizonje kazitia ndani bila woga wala aibu!
Sizonje ameanza wayawaya!! Haijulikani rambirambi halisi ni zipi!! Kila siku hesabu mpya!! Sizonje huyu!!!
 
Jaman HV hamjui kama jamaa ana hacra?atatuma yule malaika halaf tukatafutana
 
Shida ya kuruhusu darasa la saba nao wawe wabunge ndio hii, mtu kama kibajaj ana akili gani?

Server yenyewe tu JF haipo Tanzania ipo Marekani, hivi watu wanaishi Marekani uwaambie FBI eti wawakamate kwa freedom of speech? Huu ni umajinuni.
Server ya JF ingekuwa bongo nadhani angetuma vifaru kuisambaza
 
Tunajuta kumpa ukocha sizonje.hatuna hamu nae kabisa
 
Wapuuzi tu nyinyi, hamna sumu, zaidi ya kelele na umbea tu mitandaoni, acheni upuuzi wenu, otherwise forums itazinguliwa hii, wengi tunakuja relax humu. Don't spoil our fun sababu ya upuuzi wenu, pumbavu!
Kwa nini usiende relax kwenye ki brog cha chama chenu mnachosifu kila kitu?usituletee mikwara mbuzi hapa
 
Sizonje anataka tumuombee kwa Mungu huku akiwadhulumu wahanga wa tetemeko kagera! Labda sizonje ana Mungu wake sio huyu tunayemuamin.
 
Tatizo lenu mpo kama watoto walioachishwa ziwa kunyonya huwa wanalia usiku kucha wakiona wanaonewa na ni haki yao kunyonya siku zote kumbe hawajui kuna hatua zinazofuatia mbeleni pengine zitakuwa nzuri au mbaya huo ni mfano tatizo sio Magufuli tatizo ni mfumo na maisha tuliozoeya kuishi ya wizi, ulaghai ,rushwa, dhuluma na mengine yafananayo nayo, sasa Rais anajitahidi kurudisha katika misingi na mfumo uliobora wa kuyafikia malengo watu mnaona taabu ,

Hii nchi jama hata angelishuka malaika kwa hali iliyokuwa imefikia hangeweza kuiongoza humu kila mtu msemaji kila mtu mjuaji cheusi kita takatishwa kuwa cheupe inabidi kujitoa ufahamu tu kuiongoza hii nchi watanzania hatubebeki ,

Mmesahau kuna mikataba ya miaka mia moja humu hembu tuwe na utu jama tumsaidie Rais kuendesha hili gurudumu la maendeleo tuache kulia lia Mungu hapendi namalizia kusema asiyefanya kazi na asile na mikono milegevu hujenga paa bovu.


Huyo umemtaja wewe , sisi humu tupo na Sizonje kocha wa timu , kama nawewe mfua jezi yake basi tuliza kipele
 
Huyo umemtaja wewe , sisi humu tupo na Sizonje kocha wa timu , kama nawewe mfua jezi yake basi tuliza kipele
Mkuu hao ndo wanatuletea uchochezi!! Sisi tupo na mpira tubamjadili kocha wetu Sizonje sijui kwanini wanatuletea mambo ya siasa!!!
 
Mpendwa Sizonje habari za siku.... natumaini u buheri wa afya kibaiolojia japokuwa kiroho u tofauti...

Rafiki yangu Sizonje nakumbuka enzi zile tukijadili mpira ulivyokua hodari kumlaumu kocha!! Kwamba kocha wa timu yetu hawezi... kocha mzembe na anafuga uvundo....

Kadiri tulipokutana kila baada ya sentensi tatu lazima umseme kocha kila siku ikawa hamkani si shwari!!

Sizonje utakumbuka kocha alikuvumilia sana japokuwa ulikua huwezi!! Mdomo na maneno mengi yalikubeba kwa mashabiki lakini wachezaji wenzio walikujua!! Ulikua bingwa wa kukariri tarakimu za mchezo bila ujuzi na weledi wa mchezo!! Hata kocha alipoonywa sana juu ya kiwango chako kibovu bado alikubeba ingawa ulimsogoa!!

Hayawi hayawi yakawa Sizonje!! Kauli zako zikalipa!! Kocha akastaafu na ukocha ukapewa wewe!! Kila mtu ndani ya timu akiduwaa mashabiki waliolewa kauli zako tamu ziso kifani walikubeba hatimaye ukawa kocha!!

Awali ulionesha uwezo wa kukonga mashabiki kwa sifa na vitimbi kemkem!! Siku zikasonga mashabiki wakaona timu inarejea nyuma kuliko ilikokuwa kwa kocha mzembe!!

Nakujua Sizonje!! Hupendi kukosolewa na wala hupendi kimya cha sifa!! Vigelegele vya mashabiki na vifijo vimekoma!! Mbinu zote za michezo ulizotumia zimebuma!! Timu inarudi nyuma kwa kasi na wachezaji wameshapoteza mori!! Kila ugusapo sasa hapagusiki!! Wachezaji wanaonesha ari machoni pako tu lakini uwanjani wamedorora!!

Sizonje usichanganyikiwe... mambo bado ndio kwanza safari inaanza!! Ishike ngao na kigao kuyahimili majira!!!

Kwa leo naishia hapa Sizonje nikija mjini ntakutembelea tule maboga ya enzi zetu.
Mpendwa Sizonje habari za siku.... natumaini u buheri wa afya kibaiolojia japokuwa kiroho u tofauti...

Rafiki yangu Sizonje nakumbuka enzi zile tukijadili mpira ulivyokua hodari kumlaumu kocha!! Kwamba kocha wa timu yetu hawezi... kocha mzembe na anafuga uvundo....

Kadiri tulipokutana kila baada ya sentensi tatu lazima umseme kocha kila siku ikawa hamkani si shwari!!

Sizonje utakumbuka kocha alikuvumilia sana japokuwa ulikua huwezi!! Mdomo na maneno mengi yalikubeba kwa mashabiki lakini wachezaji wenzio walikujua!! Ulikua bingwa wa kukariri tarakimu za mchezo bila ujuzi na weledi wa mchezo!! Hata kocha alipoonywa sana juu ya kiwango chako kibovu bado alikubeba ingawa ulimsogoa!!

Hayawi hayawi yakawa Sizonje!! Kauli zako zikalipa!! Kocha akastaafu na ukocha ukapewa wewe!! Kila mtu ndani ya timu akiduwaa mashabiki waliolewa kauli zako tamu ziso kifani walikubeba hatimaye ukawa kocha!!

Awali ulionesha uwezo wa kukonga mashabiki kwa sifa na vitimbi kemkem!! Siku zikasonga mashabiki wakaona timu inarejea nyuma kuliko ilikokuwa kwa kocha mzembe!!

Nakujua Sizonje!! Hupendi kukosolewa na wala hupendi kimya cha sifa!! Vigelegele vya mashabiki na vifijo vimekoma!! Mbinu zote za michezo ulizotumia zimebuma!! Timu inarudi nyuma kwa kasi na wachezaji wameshapoteza mori!! Kila ugusapo sasa hapagusiki!! Wachezaji wanaonesha ari machoni pako tu lakini uwanjani wamedorora!!

Sizonje usichanganyikiwe... mambo bado ndio kwanza safari inaanza!! Ishike ngao na kigao kuyahimili majira!!!

Kwa leo naishia hapa Sizonje nikija mjini ntakutembelea tule maboga ya enzi zetu.
Bashe ni mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya New Habari ambayo ndio wamiliki wa gazeti la Mtanzania kampuni inayomilikiwa Rostam Azizi rafiki yake mkubwa Lowassa unganisha doti hapo...sina uhakika kama habari siku hizi zinapitia News room au zinatoka kwenye Simu na kuchapishwa....yapo mambo mengi ya kuandika huko Vijijini Wananchi wakaelimika.....
 
Bashe ni mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya New Habari ambayo ndio wamiliki wa gazeti la Mtanzania kampuni inayomilikiwa Rostam Azizi rafiki yake mkubwa Lowassa unganisha doti hapo...sina uhakika kama habari siku hizi zinapitia News room au zinatoka kwenye Simu na kuchapishwa....yapo mambo mengi ya kuandika huko Vijijini Wananchi wakaelimika.....
Tafadhali ndugu usituletee ugomvi hapa!! Hao akina Bashe na New Habari wanaingiaje hapa? Kuhusu habari za wananchi si mna vyombo vingi tuuu mbona hamtangazi? Mna gazeti la uhuru, Mzalendo, HabariLeo na Tazama bado tuu hamtaki tujadili mpira mnataka turipoti mambo ya vijijini?

Mmetukataza siasa mnataka na mpira mtukataze? Hili hapana Sizonje anaua timu yetu!!!
 
NNyie watumbuliwajwi mtaumia sana utawala huu. Utawala huu ni imara sana hauteteleki hata kidogo. Fanyeni kazi pesa za ovyo hazipo tena. TRA siku hizi hamna pesa za dili tena. Zamani nilikuwa nawaogopa sana wanaofanya kazi TRA lakini kwa sasa tunaheahimiana tu na Dada zetu hawawatombi tena ovyoovyo mana hela zimekata. Walimu walikuwa wanaonekana kama wasindikizaji lakini sasa hivi wanaheshimiwa mana wote almost wana income inayofanana. Heko magu umeleta usawa. There is low disparity of income levels.
 
Back
Top Bottom