Sizonje usichanganyikiwe, Mambo bado!!

Sizonje usichanganyikiwe, Mambo bado!!

sizonje wewe ni kocha, mbona unataka kucheza kote, urefa, ushauri, ukipa, kucheza ndani, hata kujishangilia sizonje,, wasikilize wenzio
 
January nitakununulia Pombe ya Mtama.
Mkuu,

Usimnunulie hiyo Pombe mpaka uhakikishe amefunga milango na Makufuli ya shaba, maana Sizonje akilewa hurukwa akili na hukosa staha.

Kaka ...
 
Mkuu,

Usimnunulie hiyo Pombe mpaka uhakikishe amefunga milango na Makufuli ya shaba, maana Sizonje akilewa hurukwa akili na hukosa staha.

Kaka ...
Nasikia hufanya fujo sana pale jumbani
 
Na kwa taarifa tu Sizonje, huku mashabiki wako hawaruhusiwi kushangilia wala kuikosoa timu na hata wewe. unakumbuka kocha msitaafu alivokuwa anatamani hata kukutosa kwenye timu yake lkn mashabiki tulipiga kelele huku mitandaoni akakubakiza?, sasa mashabiki wako tunalia sababu hutaki tukukosoe.
 
hahaaa hata vigelegele vya mashabiki sasa hakuna.. majuzi pale shamba la bibi yetu alijikamua sana ila mashabiki hawakupiga makofi kwani wimbo wake wa "Malalamiko juu ya kocha msataafu" wameshauzoea
 
Huyo unayemrejea kwa mafumbo yako hawezi kuchanganyikiwa wewe utasubiri sana.Tafuta cha maana cha kufanya.Kutumia mafumbo katika kumrejea mtu ni uoga kua jasiri na umtaje jina ili ikibidi ajitafakari.
 
Back
Top Bottom