Sizonje anacheza nje ya ni bit ,najiuliza mpaka sasa nakosa majibu nani alimsajili huyu kwenye timu yetu? Kutoka kua mchezaji wa kawaida mpaka kocha??? Ona sasa timu inashuka daraja kocha hajali ,ameshindwa kupanga first eleven,capten hasikilizwi kwa ushauri,anasikilizwa under 21 wa timu B,sizonje hii timu yetu mbona hatushindiiii?