Hivi wewe unaijua fasihi na dhima zake kweli wewe??????Huyo unayemrejea kwa mafumbo yako hawezi kuchanganyikiwa wewe utasubiri sana.Tafuta cha maana cha kufanya.Kutumia mafumbo katika kumrejea mtu ni uoga kua jasiri na umtaje jina ili ikibidi ajitafakari.
tuondolee uki.la.za wako hapa. Kama huujui utajiri wa lugha yetu adhimu pita na zako. Halafu wewe, mbona unaguswaga sana na hoja zenye kuelimisha na kukumbusha na hata kuonyesha njia? Usiwe jembe la ng'ombe kukokotwa hata lisipohitaji mradi tu yupo ng'ombe.Huyo unayemrejea kwa mafumbo yako hawezi kuchanganyikiwa wewe utasubiri sana.Tafuta cha maana cha kufanya.Kutumia mafumbo katika kumrejea mtu ni uoga kua jasiri na umtaje jina ili ikibidi ajitafakari.
Hata kama hapa hatupo kwenye darasa hilo km mtu anakukera mweleze moja kwa moja na si kimzingukomzunguko ili ajirekebishe ikibidi.Hivi wewe unaijua fasihi na dhima zake kweli wewe??????
We unadhani haupendi ugali maini hadi ajichanganye akale ugali maharage tena wa bure ..thubutuuuuuuuuuHata kama hapa hatupo kwenye darasa hilo km mtu anakukera mweleze moja kwa moja na si kimzingukomzunguko ili ajirekebishe ikibidi.
Kwani unadhani hajaelewa?huoni anavomsumbua maxence,na atashindwa tu mpango wakeHata kama hapa hatupo kwenye darasa hilo km mtu anakukera mweleze moja kwa moja na si kimzingukomzunguko ili ajirekebishe ikibidi.
sizonje lipa madeni vinginevyo kuendesha timu itakuia vigumu sanasizonje,ni lini utathamini elimu ya juu?..nikirud toka ng'ambo ntakupa vijisent uwakopeshe wanafunzi..
Pogba au kubwa kubwaJamani mmeniacha Gizani.sizonje ndo nani
Jina lake kamili ni pogbaSIZONJE sijui anapeleka wapi timu.....
Alafu mbona Sizonje amepewa majina mengi this time?.......
Mala Juma Ponda Mali ,Mala Nyampala,Tembo, Sasa nasikia anaitwa Trump ......
Kuna ukweli juu ya majina ya Shizonje?.......
pogba achia ngazi unatia aibu