Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,919
- 7,768
Juma P. MensahJamani mmeniacha Gizani.sizonje ndo nani
Juma P. MensahJamani mmeniacha Gizani.sizonje ndo nani
juma makandeJuma P. Mensah
Hivi sisi wakazi wa Mosco mnatupataje na hizi sheria zenu magumashi?kuna harufu ya m7 humu!
Huyu wa chato ana huluma TRA imevunja record ya makusanyo ya kodi bado wametumbuliwa..bado tu..!! Mda utasemaHaha risiti zimejaa kibaba lakini hali bado tete!!
Nimecheka sana mkuu. Wanasema hata sisi wa HANANASIF wakiamua kutufata, watatukamata tu!Hivi sisi wakazi wa Mosco mnatupataje na hizi sheria zenu magumashi?
Kibaya Zaidi Sizonje anataka watoto wetu wasipate elimu ya juu waishie kuwa kwenye tabaka la wapiga kura, juzi tu walisema waziri wa habari lazima awe na degree, kwahiyo watoto wetu wataishia kuwapigia kura watoto wao.Haha mkuu kwa ukata huu wa kupigiwa mnada mali zetu jeuri hii umeitoa wapi? Hala hala asikusikie Sizonje maana hataki muishi kama malaika!!
Weee jamaa noma sana.eti nasikia yeye ndio analishauri baraza LA mawaziri badala ya wao kumshauri,sizonje ni giniaz
Sizonje tazama timu yetu inavyoshuka daraja nawewe ndo kocha,Sizonje ili kucheza ligi ya mabingwa ni lazima kubadili katiba ya timu yetu ,Ili ikuwezeshe kujisimamia, kuwasimamia viongozi wengine wa timu yetu pamoja na kuwasimamia wachezaji,sizonje,ni lini utathamini elimu ya juu?..nikirud toka ng'ambo ntakupa vijisent uwakopeshe wanafunzi..
Sizonje anaimba timu tajiri huku akitaka wenye timu waishi kama mashetani!!Kibaya Zaidi Sizonje anataka watoto wetu wasipate elimu ya juu waishie kuwa kwenye tabaka la wapiga kura, juzi tu walisema waziri wa habari lazima awe na degree, kwahiyo watoto wetu wataishia kuwapigia kura watoto wao.
Shida ya kuruhusu darasa la saba nao wawe wabunge ndio hii, mtu kama kibajaj ana akili gani?Nimecheka sana mkuu. Wanasema hata sisi wa HANANASIF wakiamua kutufata, watatukamata tu!
🙂🙂hayo ndio mabadiliko nayoyataka😉😉in trump voice.........eti nasikia yeye ndio analishauri baraza LA mawaziri badala ya wao kumshauri,sizonje ni giniaz
Sizonje pengine angepewa kazi ya kufua jezi kila baada ya mechi lakini si ukocha, ona sasa timu inashuka daraja.








haki ya mungu kati ya vitu ambavyo sizonje havipendi hata kuvisikia ni huu mtandao wa jf, inawezekana kuna watu amewaweka kufuatilia mada zinazoinanga timu yake, au yeyemenyewe, balaa linakuja jinsi yakumpa ripoti ya mambo kama haya '"'eti.... Mh.... Wanakuita.... Sii.. Si zonje..''