Siyo ishara njema: Magufuli azomewa Mwanza

Siyo ishara njema: Magufuli azomewa Mwanza

Ni utabiri tu, kama gambaz yalipata habari za Filikunjombe kuanguka na chopa na bado yakakanusha halafu baadae yakathibitisha je, unadhani mr kidevu akipigwa ngwara na mamvi yatakubali bila visingizio??
Hahaha hatari
 
Hivi Kutoka dar-mwanza ni masaa mawili kweli? Hata kama ni V12 haiwezekani,? Au siku hizi mzee jpm hatumii tena njia ya barabara ili ajue matatizo ya wa Tz
Anatumia ungo, ungo huenda kasi kuliko ndege!

Ukiwa kwenye ungo unaona matatizo yote ya WaTz!
 
Vijana wa IT wa ukawa wana viwanda vya kutengeneza umbeya.
 
Hili ndo linaofanya hali kuwa tete? Sasa unafikiri kwa hali ya mwanza utakosa zomeazomea wakat watu washajipanga kufanya hivyo tangu zamani
 
Nimepokea taarifa muda huu kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ndugu John Pombe Magufuli amekumbwa na zomeazomea jijini Mwanza!

Kama ni kweli hii siyo ishara njema kwa uchaguzi wetu mkuu ujao ambao umeambatana na matukio ya ajabu ajabu yanayosababisha simanzi!

Wadau naomba kutokana na msongo wa mambo ya simanzi yanayoukumba huu mchakato, basi tusiongeze majonzi kwa upande mmoja au mwingine wa wagombea! Tuvumiliane! Yatosha sasa!

Subiri tarehe 27 itakapowalazimu kubadiri ID zenu.
 
Jiongeze angalia Star Tv hapo, Mwanza sio mafuriko bali ni maporomoko

Acha uwongo mimi niko uwanjani na wala usiamini Tv hata siku moja kumbuka ya Moshi. Hapa watu wako kama nusu ya mahudhurio ya mwenzake Lowasa.
 
Tuulize tulioko mwanza siyo unaongea umbeya,hakuna alipozomewa magufuli zaidi ya watu kufunga barabara,na anafunga kampeni zake mwanza ccm kirumba,mtanyooka tu safari hii
 
Naona Mabasi Ya Zakaria,malori Yanapiga Shanting,bodaboda Wote Ni Bendera Za Ccm,pale Sahara Walikuwa Wanagawa Buku 5 Na Tisheti Na Unaandikwa Jina,sasa Sijui Kutakuwa Na Kusomwa Pale Uwanjani!?Ccm Kwakweli Kwa Mwanza Hali Ngumu

Dhibitisha kwa ushahidi wa picha!! Usipendi kudanganya!!!
 
Back
Top Bottom