Siyo ishara njema: Magufuli azomewa Mwanza

Siyo ishara njema: Magufuli azomewa Mwanza

Du Fiesta la wanamziki kibao hata Mimi nimekuja kuliona kwani Kuwaona ni gharama Kubwa

Mnachekesha sana Mara hamuwapendi wasanii wanaoishabikia ccm Mara Niko hapa kuwaona mbona mnahangaika sema umeenda kumsikiliza rais mtarajiwa.
 
Mchezo uliofanyika Arusha ndio mchezo unaofanyika Mwanza wa kubeba na kusafirisha nyomi haaa haaa.
 
Kama Magufuli kazomewa Mwanza,katika boxing inaitwa knock down. Inasaidia kufahamu matokea ya mechi yatakuwa nini.
 
Nimepokea taarifa muda huu kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ndugu John Pombe Magufuli amekumbwa na zomeazomea jijini Mwanza!

Kama ni kweli hii siyo ishara njema kwa uchaguzi wetu mkuu ujao ambao umeambatana na matukio ya ajabu ajabu yanayosababisha simanzi!

Wadau naomba kutokana na msongo wa mambo ya simanzi yanayoukumba huu mchakato, basi tusiongeze majonzi kwa upande mmoja au mwingine wa wagombea! Tuvumiliane! Yatosha sasa!

Makafara yao?
 
Mtoa post unaonekana una usingizi have jaelewa magufuli ni nani na anafanya nini,pole sana kwa Kuwa hujitambui
 
Weli kazomewa mpaka akarudi ndani ya gari...maana alikuwa ametokeza kwa roof....vedio yake ipo kwa whatsap...
 
Kweli kazomewa mpaka akarudi ndani ya gari...maana alikuwa ametokeza kwa roof....vedio yake ipo kwa whatsap...
 
G Sam wewe muongo hapa Niko mwanza toka asubui tumempokea kutoka airport watu tumesindikiza kwa miguu mpka uwancha Wa furahisha ni mafuriko .wacha unafiki wako
 
  • Thanks
Reactions: nao
Back
Top Bottom