Kosa lake kuweka ukweli ?Subiri tarehe 27 itakapowalazimu kubadiri ID zenu.
Nimepokea taarifa muda huu kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ndugu John Pombe Magufuli amekumbwa na zomeazomea jijini Mwanza!
Kama ni kweli hii siyo ishara njema kwa uchaguzi wetu mkuu ujao ambao umeambatana na matukio ya ajabu ajabu yanayosababisha simanzi!
Wadau naomba kutokana na msongo wa mambo ya simanzi yanayoukumba huu mchakato, basi tusiongeze majonzi kwa upande mmoja au mwingine wa wagombea! Tuvumiliane! Yatosha sasa!
Wewe hizo "taarifa" zako unazopokea zitakupeleka pabaya. Ulikuja na hizo "taarifa" za uongo kuhusu Mkuu wa Majeshi, ukaona sifa na salama sasa unakuja na "taarifa" nyingine zisizo na kichwa wala miguu.
Chunga kijana.
Hivi Yericko Nyerere yuko wapi?