Real One
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 2,158
- 1,881
pole zako yericko,magufuli bado hajafika mwanza
Inaonekana unampenda sana yericko?
shauri yako!!
pole zako yericko,magufuli bado hajafika mwanza
tutamini vp kuwa unavyomanisha ni kweli
Acha kumsingizia mwalimu akiwa hi kusema kwamba lowassa Hafai?
Tunajua wakati ule umri wake na pia kukodi ndege ilikua si jambo la kawaida bt sasa ivi watu awa kodi wanamiliki zao wenyewe na ndo maana tuna mtaka huyu huyu fisadi potelea mbali!
Kwani alumni bail kikwete??
tutamini vp kuwa unavyomanisha ni kweli
Mkuu, katiba inayotumika sasa ya mwaka 97 haina ushindi wa 50%. Mshindi atatangazwa kwa simple majority hata kama ni 35%
Wewe hujawahi kujinyea yoka uzaliwe!? Fanya arguments kama mtu mzima!!!! Fisiem wewe
Hawa jamaa sio wa kuamini hata kidogo, JPM kafika Mwanza saa ngapi mpaka watu wamzomee? Alikuwa Dar mida ya saa nne, niliona msafara wake maeneo ya vingunguti, jioni ndo atakuwa Mwanza. Muda aliopost jamaa toa muda wa aliyemwambia, ni angalau saa sita, Dar mpaka Mwanza sidhani kama ni chini ya masaa mawili, sasa ni saa nane, kumahesabu, JPM bado yupo angani kuelekea Mwanza.
Kama haya MAROLi yanavyofanya kupeleka na kurudisha watu