Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,732
- 6,631
Malori kila kona aiseeee
Kama haya?,nauliza tu!!
Malori kila kona aiseeee
Pombe yupo Vingunguti kuanzia jioni ndo anakuwa Mwanza
Mimi natabiri hivi: Kwa mara ya kwanza Tz itaingia katika duru ya pili ya uchaguzi. Oct25 hakuna mgombea atakayevuka au kufikia 50%.
Lowassa Chadema ni second Option alianza na Ccm alipofinyangwa ndo akakimbilia huko.Kingunge anawadanganya eti hata Mwl Nyerere angehamia huko.Astaghfirullah Mwl sio Sumaye amfate mtu aliemkataa.Yaani Julius Kambarage Nyerer awe Nyumbu wa Wezi, Mafisadi walaghai, wahongaji n.k. Mama Maria awawie Radhi!
Nimepokea taarifa muda huu kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ndugu John Pombe Magufuli amekumbwa na zomeazomea jijini Mwanza!
Kama ni kweli hii siyo ishara njema kwa uchaguzi wetu mkuu ujao ambao umeambatana na matukio ya ajabu ajabu yanayosababisha simanzi!
Wadau naomba kutokana na msongo wa mambo ya simanzi yanayoukumba huu mchakato, basi tusiongeze majonzi kwa upande mmoja au mwingine wa wagombea! Tuvumiliane! Yatosha sasa!
endelea hivyo hivyo kuwadanganya wenzako na kueneza propaganda ya chuki dhidi ya rais wako ajaye dr. magufuli. nadhani ungetumia muda huu unaipoteza kupiga propaganda humu jf na kwenda kumbembeleza na kumshawishi mgombea wenu edward lowassa asikimbie mdahalo wa kesho na badala yake atie timu ili watanzania waone na wagundue kati ya pumba na mchele. na kesho ndiyo siku ambayo sasa dr. magufuli anaenda kuwabadili fikra na mitazamo watanzania na hatimaye wataamua kumpigia kura zitakazomfanya awe rais. hizo saa mbili tu za mdahalo wa kesho ambao pia utarushwa live na watanzania kujionea ndizo ccm na dr. magufuli wake watakapopiga bao la kisigino na la ushindi.
nDO MAANA YAKE,CHEZEA SHERIA YA MTANDAO WEWE,SIKU HIZI HAROPOKI ROPOKI UJINGA WAKEAmebadili jina?
View attachment 299867 fisiemu uko mwanza hao ni wanafunzi
Mkuu, katiba inayotumika sasa ya mwaka 97 haina ushindi wa 50%. Mshindi atatangazwa kwa simple majority hata kama ni 35%Mimi natabiri hivi: Kwa mara ya kwanza Tz itaingia katika duru ya pili ya uchaguzi. Oct25 hakuna mgombea atakayevuka au kufikia 50%.
Unatumia katiba ipi!?
Kama haya MAROLi yanavyofanya kupeleka na kurudisha watuLeo jiji la Mwanza limekua la tofauti sana baada ya Magari ya mizigo kubadilishwa kazi na kubeba abiria huku yakipambwa kijani na njano.Niko hapa Buzuruga naona malori zaidi ya 50 yakitoka maeneo ya Buswelu,Mahina, Igoma,Buzuruga ,Kisesa ,Magu nk.
Ombi langu ni waandaaji wakumbuke kuwarudisha watu makwao maana kutoka Furahisha mpaka Magu ni umbali mrefu na jioni usafiri huwa ni wa shida
Kushangiliwa na kuji nye....... Kipi bora????
Kama haya?,nauliza tu!!
We wa wapi? Tz tuna mfumo mbovu sana, hata ukimzidi mwenzio kura moja we ndo mshindi.
Kiuhalisia, hata ukimzidi mwenzio kura laki tano, ni dalili kuwa haukubaliki, ila Tz mwendo mdundo. Haya ni baadhi ya maeneo yanatakiwa kurekebisha.