Siyo ishara njema: Magufuli azomewa Mwanza

Siyo ishara njema: Magufuli azomewa Mwanza

Leo mwanachadema ambaye atakuwa hajala pesa za ccm basi hatakula
Petrol station mbili zinagawa mafuta bure moja ya MOIL ya mansuri pale mlango mmoja na nyingine oryx Kenyata road
Na watoto wote wa shule za msingi wameamriwa waende uwanjani ili walau mafuriko yaonekane
 

Attachments

  • 1445091972333.jpg
    1445091972333.jpg
    51.2 KB · Views: 2,505
hahaha..pamoja na kutumia nguvu nyingi ila mkutano wao hauwezi hata kufikia nusu ya alioufanya lowasa hapa furahisha ..ilikua hakuna hata pa kupita..ila leo watu wapo lakni sio kivilee
 
Magufuli hawezi kushangiliwa NA mafisadi.hili lipo wazi.UKAWA ni umoja wa ufisadi.wanaogopa sana Magufuli.
 
Mkuu watoe shukrani za dhati kwa mmiliki wa bus za zakaria na lori za gachuma maana zimeshapita hapa mataa sio chini ya mara kumi
 
Moderator ondoeni huu uzushi kila mtu akiamua anaweza ufanya.
 
Last edited by a moderator:
Duuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!!!!!hatariiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hata wewe ukitenga Million Moja ya Viroba unapata Fuso kama kumi za Vijana wa kuzomea Jukumu lako ni kuwaambia tu wamzomee nani! Ccm imeshamaliza kazi, Mkapa, kinana na team nzima ya watu 32 wapo maeneo ya kimkakati kwa kazi moja tu 'kuinamisha' mtungi kumtoa Panya Mtungini. Jana nimemuona Mbowe ana akili kama za Lipumba kuamini eti ukimpigia kura Lowassa itahamia kwa Magufuli kwa hiyo mkimaliza kupiga kura mkunje karatasi maandishi yawe kwa nje! Dah! Kweli Jahazi likitoboka hata Nanga unaamini itakusaida kuelea Majini
Mkuu maigizo ya kundi hili ndiyo yanaweza kuwa kichocheo cha kuleta vurugu nchini,nani kamwambia karatasi ukikunja kwa nje kura zitayeyuka! Yote anataka kujengea wapiga kura dhana kwamba kuna mpango wa kuchakachua kura, Mbowe na kundi lake ni watu wamepania kuleta labsha kwenye Taifa letu,kuna haja gani ya kuhamasisha walevi kuzomea watu hizi kama si akili za kitoto tusihiteje, tatizo ni kwamba wamekwisha ona kwamba uwezekano wa wao kushinda kiti cha Urais ni mdogo sana hivyo katika tapa tapa yao wanajikuta wanafanya mambo yasio ya kistaarabu hata kidogo.
 
Unijindanganya wenyewe mimi niko mza hakuna kitu kama ich kuanzia airport nikijani na njano tu acheni uongo kichapo next week dawa inawaingia now ccm juuyuuu
 
Ccm chama kinachopendwa na watanzania wastaarabu wa rika zote,ukawa wanapigwa,hawatoi machozi,wanalia kimya kimya
 
Meseji za kuwa relayed huwa zinapoteza maana yake, hasa Tz ambapo watu wameamua kwa dhati kupumzisha akili zao na kutumia mahaba. Weka link ya reliable source, wewe ni mmoja wa watu ambao hauna la kuongea jema kuhusu Magufuli.
Ningeshangaa kama ungemsifu JPM na kumponda EL, in short, you are predictable.
Mbona idawa kabadilika sasa anamfagilia luwasa
 
We karani wa Vibaka Ltd ndo umetumwa kuleta uozo hapa? Hakikisha unapata malipo wiki hii else baada ya kusambaratishwa wiki ijayo hakutakuwa na malipo

Acha ujinga mtoto wa kahaba wewe,ataendelea kuzomewa na hashindi hata iweje,jiandae kulazwa ICU siku Lowassa anaapishwa kuwa rais wako wa 5.
 
Back
Top Bottom