Watu wa ccm nao wanatia chumvi kila jmbo,,,,hp ni fiesta tu wasanii lukuki wameletwa hp,,,watu wametoka magu hko na vjj vngn kuja kujz uwanja na magr ynyotumika kuwasomb watu ni ya mwita gachuma ya cocacola
Kama umeambiwa Mwanza ni CDM ila wewe ukaleta ubishi, utazomewa tu, nami nasema azomewe tu, hakuna namna maana tumechoka.
Mkuu tupe ushahidi wa viambatanisho vya pichaNimepokea taarifa muda huu kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ndugu John Pombe Magufuli amekumbwa na zomeazomea jijini Mwanza!
Kama ni kweli hii siyo ishara njema kwa uchaguzi wetu mkuu ujao ambao umeambatana na matukio ya ajabu ajabu yanayosababisha simanzi!
Wadau naomba kutokana na msongo wa mambo ya simanzi yanayoukumba huu mchakato, basi tusiongeze majonzi kwa upande mmoja au mwingine wa wagombea! Tuvumiliane! Yatosha sasa!
Mwanza ni CCM wewe
Were is child Wright
Hivi we mzazi unayemruhusu mototo wako aende kwenye mikutano ya siasa una. Akili???
Ikitokea kukanyagana hawa watoto watanusurika??
Mwanza ni CCM wewe
raisi kakimbia mdahalo kazoea kuongea na wanywa viroba
Niliandika tread humu week 2 zilizipita mod hakaifuta.juu ya Maghufuri ajiandae kuzomewa mwz.ni ngome ya UKAWA na si CCM tena.
Moderator ondoeni huu uzushi kila mtu akiamua anaweza ufanya.