asenga wa ukaya
Member
- Feb 28, 2014
- 34
- 7
Katibu mkuu wa umoja wa vijana wa CCM ameingia kahama akiendelea ziara yake ya kila wilaya kuimarisha jumuiya na kuhakikisha kuwa Watanzana hawapotoshwI na taarfa za uongo baada ya UKAWA KUCHOMA MOTO masanduku ya kura kahama baada ya ukawa kuonekana wanashindwa mitaa mitatu kuchoma moto kura na wakala wao kuzimka gafla