Sixtus Mapunda atinga Kahama leo kudeal na UKAWA

Feb 28, 2014
34
7
Katibu mkuu wa umoja wa vijana wa CCM ameingia kahama akiendelea ziara yake ya kila wilaya kuimarisha jumuiya na kuhakikisha kuwa Watanzana hawapotoshwI na taarfa za uongo baada ya UKAWA KUCHOMA MOTO masanduku ya kura kahama baada ya ukawa kuonekana wanashindwa mitaa mitatu kuchoma moto kura na wakala wao kuzimka gafla
 
Mwambie Asitie Mguu Kahama,aende Tabora Kwa Misukule,kahama Atapewa Sumu,kule Ccm Ni Mafi Tu.
 
Huyu punda atarekebisha nini kwa Msukuma ambayo hana haraka??? wavumilivu sana ila wakichoka ni basi, roho ya msukuma ni moja ikitoka basi. Miaka 53 ya utawala na huu umaskini bado kuna kengemtu anaongelea kutetea CCM??? ya musaaaaaa kweli hayaishi
 
Huyu punda atarekebisha nini kwa Msukuma ambayo hana haraka??? wavumilivu sana ila wakichoka ni basi, roho ya msukuma ni moja ikitoka basi. Miaka 53 ya utawala na huu umaskini bado kuna kengemtu anaongelea kutetea CCM??? ya musaaaaaa kweli hayaishi

Mkuu umesahau, kahama kuna muingiliano mkubwa wa makabila kuliko unavyodhani.Tupo wengi makabila mengine kuliko wasukuma, na ndo tulioiangusha CCM Kahama.Bado mwakani
 
Mkuu umesahau, kahama kuna muingiliano mkubwa wa makabila kuliko unavyodhani.Tupo wengi makabila mengine kuliko wasukuma, na ndo tulioiangusha CCM Kahama.Bado mwakani

Wale wote wanaokataa kuendelea kuwa watumwa wa CCM, hongereni sana, najua mpo wengi sana Kahama. Asante
 
Hako kajamaa nimesoma nako,kalikua kanachukia sana masomo yanayoleta ufahamu .kumbe kalikua kanapalilia uzumbukuku uliokubuhu,kweli kakijana haka kanashindwa kutetea nchi badala yakhe kanatetea majambazi .nikikangalia ua nakashangaa sana,cha ajabu pale chuo kikuu kalikosa mkopo ,kalilia sana lkn leo kanajifanya katoto ka kishua!hakana,lolote wananch msikasikilize
 
G
Katibu mkuu wa umoja wa vijana wa CCM ameingia kahama akiendelea ziara yake ya kila wilaya kuimarisha jumuiya na kuhakikisha kuwa Watanzana hawapotoshwI na taarfa za uongo baada ya UKAWA KUCHOMA MOTO masanduku ya kura kahama baada ya ukawa kuonekana wanashindwa mitaa mitatu kuchoma moto kura na wakala wao kuzimka gafla

Ngoja aende akakutane na nguvu ya umma..
 
Katibu mkuu wa umoja wa vijana wa CCM ameingia kahama akiendelea ziara yake ya kila wilaya kuimarisha jumuiya na kuhakikisha kuwa Watanzana hawapotoshwI na taarfa za uongo baada ya UKAWA KUCHOMA MOTO masanduku ya kura kahama baada ya ukawa kuonekana wanashindwa mitaa mitatu kuchoma moto kura na wakala wao kuzimka gafla
Kwa hiyo ndo amekuwa hakimu anaenda kuhukum kesi?
 
Back
Top Bottom