Siwezi kuoa single Mother

Siwezi kuoa single Mother

Single mothers watakuja na povu jingi, ila mm n shahidi wa hayo, single mother kwa kijana ni sumu.

Watakuja kusema hao ambao hawajazaa wametoa mimba sana ila hii yote ni kujifariji tuu.

Kijana unayejitafuta, jiepushe na single mother, usiposikia hilo bc utashughudia mwnyw kwa maumivu makuu
Yani wamenishambulia sana.. ila ujumbe wameupata.

Kama ulivyosema ..vijana wajiepushe na single mother maana sio watu loyal kabisa .
 
Technically nae ni single mother
Nina amini yule atakae mtaka na kumstiri atakuwa ameona nimekufa na atakuwa anajua hadi kaburi langu lilipo .. tofauti na hapo simshauri amuoe huyo mwanamke maana ni mali ya wengine . Atateseka tu.
 
Jukwaa huru ndio ufundishe ubaguzi wa hali ya juu kiasi hiki
Nawa epusha vijana na maumivu yasiyokuwa ya lazima .. hii inaitwa guidance kaka. Muhimu kuwaepusha vijana wasije kukutwa vitu vizito mbeleni
 
Single mothers watakuja na povu jingi, ila mm n shahidi wa hayo, single mother kwa kijana ni sumu.

Watakuja kusema hao ambao hawajazaa wametoa mimba sana ila hii yote ni kujifariji tuu.

Kijana unayejitafuta, jiepushe na single mother, usiposikia hilo bc utashughudia mwnyw kwa maumivu makuu
Sio kila anaetetea huu upuuzi wenu ni single mother jitahidini kuwaweka kikaangoni na wanaume wenzeni wasizalishe hovyo

Swala la single mother sio lake pekee kwanini mwanaume anaacwa nyuma

NB : WANAUME WANAOBWEKA KUHUSU SINGLE MOTHER NI HOHEHAHE
 
Nina amini yule atakae mtaka na kumstiri atakuwa ameona nimekufa na atakuwa anajua hadi kaburi langu lilipo .. tofauti na hapo simshauri amuoe huyo mwanamke maana ni mali ya wengine . Atateseka tu.
Kwa maana hiyo unakubali kwamba kuna aina za single mothers wanaostahili nafasi nyingine ?
 
This narrative that single motherhood is solely a woman’s choice ni oversimplification
A woman is gatekeeper of sex and fertility. Nothing can happen without woman’s consent, and to know if a man is serious is untill he marry her or atleast visiting her family to introduce himself. Any woman accept a man to impregnate her without that happened she is an idiot and she deserve all shit comes with a stupid decision she made.
 
The author didn't blame women. He just shared his standard term. Man's requirements is not misogynistic.

Single motherhood is woman's choice. Due to the fact that she is a gatekeeper of sex and fertility. No man came with a gun to force her to open her legs. She did it intentionally, understood and willingly.

She was in place of making a better decision but she chose chaos, then she has to face consequences of her decision without blaming no one. That's called accountability.
Natafuta Ajira Hapa ndipo umeonyesha wazi chuki yako dhidi ya jinsia ya ke kwa kuendelea kumkingia kifua huyu mwanaume mpumbavu aliyeshindwa hata kutumia kondomu au kushauriana na mpenzi wake kuhusu kufanya sex katika siku za hatari za kupata mimba

Mwanaume anayefanya sex bila kuzingatia madhara au matokeo yanayoweza kutokea mbele ni mpumbavu 📌

na mpumbavu wa pili ni yule aliyepokea shahawa za mwenzake bila hata kuwaza nini kitatokea kama yai litarutubishwa

Katika hili mwanaume na mwanamke wote wanapaswa kulaumiwa

Kulaumu upande mmoja tu ni ubinafsi na ujinga
 
Those are exception cases. There is exception in everyrhing, but exceptionality don't count when we make rules
when it comes to social issues like single motherhood and remarriage, the "rules" or societal norms should ideally be flexible enough to accommodate individual circumstances rather than isolate or stigmatize people
 
MIMI NI HOHEHAHE, ILA SINGLE MOTHER NI SUMU KWA KIJANA ANAYEJITAFUTA.

Kuzalishwa na mwanaume mwingine isiwe kugezo cha kuwahukumu Wanaume wengine ambao hayujazalisha au tuliwazalisha tunaishi nao.
Make kwanza nchekeee 🤣🤣
Mbaga tulia mdogo wangu

Wakulaumiwa ni wawili sio mmoja hilo ndiyo nalokataa

Na kweli wengi wanaolalamika kula yao ni ya shida sana 🤣🤣
 
Mkuu Natafuta Ajira , unachohamasisha nini haswa!
1. Epuka single mother
2. Oa bikra
Mada haihusiani na bikira. Kujadili hicho kipengere ni kutoka nje ya mada. Kuhusu single mother, ofcourse ni chaguo bovu kwa kijana ambae anaanzisha familia. Hasara za kuoa single mother.

1. Hautakua na mzaliwa wa kwanza.
Mzaliwa wa kwanza ni baba msaidizi. Huyu ndie atakua kiongozi wa familia yako utakapoondoka hapa duniani. Je utakua na amani kuacha uangalizi wa familia kwa mtoto ambae sio wako?

2. Bloodline ya uzao wako inavulugika.
Damu nzito kuliko maji. Kuoa single mother unakaribisha invaders kwenye kaya yako.

3. Migogoro kwenye mirathi.
Italeta utata kwenye mirathi yako itakapofika wakati wa kujadiliana kama hiyo mtoto ambae sio wako ajumuishwe au awekwe pembeni.

4. Mama mtoto kujenga mji mwingine kwa siri.
Kutokana na kugokua na uhakika wa mtoto wake kukumuishwa kwenye mirathi yako inaweza ikapelekea mama mtoto kulazimika amwandalie mwanae mji mwingine kwa siri. Hii maana yake wanandoa mtakua mnajenga miji miwili tofauti.

Hizo ni baadhi lakini hasara zipo nyingi, na uzuri ni kwamba unaweza kuziepuka kwa kufanya maamuzi sahihi ya kuwaweka single mothers kwenye blacklist katika uchaguzi wako
 
when it comes to social issues like single motherhood and remarriage, the "rules" or societal norms should ideally be flexible enough to accommodate individual circumstances rather than isolate or stigmatize people
If everyone has an escaping hitch to step outside of a specific alignment then that's not a rule.
 
Back
Top Bottom