Mkuu
Natafuta Ajira , unachohamasisha nini haswa!
1. Epuka single mother
2. Oa bikra
Mada haihusiani na bikira. Kujadili hicho kipengere ni kutoka nje ya mada. Kuhusu single mother, ofcourse ni chaguo bovu kwa kijana ambae anaanzisha familia. Hasara za kuoa single mother.
1. Hautakua na mzaliwa wa kwanza.
Mzaliwa wa kwanza ni baba msaidizi. Huyu ndie atakua kiongozi wa familia yako utakapoondoka hapa duniani. Je utakua na amani kuacha uangalizi wa familia kwa mtoto ambae sio wako?
2. Bloodline ya uzao wako inavulugika.
Damu nzito kuliko maji. Kuoa single mother unakaribisha invaders kwenye kaya yako.
3. Migogoro kwenye mirathi.
Italeta utata kwenye mirathi yako itakapofika wakati wa kujadiliana kama hiyo mtoto ambae sio wako ajumuishwe au awekwe pembeni.
4. Mama mtoto kujenga mji mwingine kwa siri.
Kutokana na kugokua na uhakika wa mtoto wake kukumuishwa kwenye mirathi yako inaweza ikapelekea mama mtoto kulazimika amwandalie mwanae mji mwingine kwa siri. Hii maana yake wanandoa mtakua mnajenga miji miwili tofauti.
Hizo ni baadhi lakini hasara zipo nyingi, na uzuri ni kwamba unaweza kuziepuka kwa kufanya maamuzi sahihi ya kuwaweka single mothers kwenye blacklist katika uchaguzi wako