Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,441
- 38,419
Mm nikimpata singomaza anaejielewa... naoa! Hata waliooana Bikra nao pia wana changamoto zao na ndo wanageuka SINGOz! Ndoa/Mahusiano hazina SI Unit!Wamekushikia bunduki ni lazima uoe singo Maza kijana?