FRUIT TREE
JF-Expert Member
- Jun 7, 2018
- 701
- 838
Women are dynamics,no one knows what a woman needs.Habari za wakati huu, napenda kuulizia hivi husband material huwa anapatikana wapi?. Maana vijana wa wakati huu ata nashindwa kuwaelewa kabisa mambo yao, wengi wanapenda kulelewa na hawafaham kabisa majukumu yao.
Unakuta mtu Hana Kazi, kula kulala kwa baba alafu anahitaji mwanamke anayepambania maisha yake. Akiombwa ata laki 3 anahaha, anatetemeka. Ss huna Kazi mwanamke wa nini?.... Mwanamke anahitaji matunzo, anahitaji kujaliwa, mwanaume unatakiwa ujuwe majukumu yako na mwanamke naye ajue majukumu yake. Lkn siku hiz majukumu ya mwanamke anafanya mwanamke na majukumu ya mwanaume anafanya pia mwanamke. Mi nashindwa elewa kabisa.
Ukiwa hupendwi ni hupendwi tuuu, usiforece kupendwa ilhali hujui nini mwanamke anataka. Over.... Muwe na mapumziko mema.
_Mwanamke ukimpa pesa kadri ya mahitaji yake atasema haumridhishi,hauna muda naye,hauna mvuto n.k
_Mwanamke ukimridhisha na kuwa na muda naye atasema "lakini hana pesa".
Kwa kweli nyie ni viumbe msioeleweka kabisa ndio maana tuliambiwa tuishi nanyie kwa akili.



