Siwaelewi wanaume wa karne hii

Siwaelewi wanaume wa karne hii

Ukitaka mwanaume akupe pesa hakikisha kwanza we demu mzuri unakuta demu sura ya baba anataka ma handsome hapo ndipo kasheshe linapoanza..

Nimechunguza sana mademu wengi wanaolea wanaume wana sura za baba shepu mbovu wengi wao ndio wanakua wamejitongozesha

SAMAHANI
Naona umepiga kwenye mshono. Kaa hapo hapo usubiri makombora
 
100%
IMG_20211014_112558_371.jpg
 
Kwa akili zenu hizi za kutanguliza pesa eti ndo wajibu wa mwanaume. Mtaendelea kupelekewa moto na hakuna atakae waoa wala kuwaokoa kwenye ilo dimbwi lakutumika kama sehemu ya starehe.

Utatafuta izo pesa zako na utawakataa wasio na pesa na bado utarudi palepale unataka mtu wa kukuliwaza kiakili, kimwili na kihisia na hapa haijalishi anazo pesa au hana
 
Ikiwa wewe huna hiyo laki 3 unategemea yeye awe nayo?? Halafu majukumu ya mwanamke ni yapi maana mnafanya mpaka ya wanaume siku hizi hamna mwenye majukumu specific yani pambana na hali yako.
 
Back
Top Bottom