kaka km
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 1,336
- 687
Kula like kuuuuubwa mkuu.
Muamin mama yako aliekuzaa wengine utasumbukaa
Muamin mama yako aliekuzaa wengine utasumbukaa
Mbona hao wapo jamani unajua limtokalo mtu kinywani ndiyo linalomtia unajisi,baadhi ya wanawake siku hizi neno pesa ndo habari ya mjini wenyewe wanasema hata kama ukweli siyo huo tayari kauli imesha loga kwa hiyo wanaume wengi wako mguu pande mguu sawa katika mahusiaono wakiamini mahusiano siku hizi bila pesa hayawezekaniNikimpata huyo atakae kuwa zombi kwangu nami ntakuwa zombi kwake hapo kutakuwa hakuna wa kututoa kwenye huo uzombi wetu.
Ni dhahir wasichana/wanawake weng kwa sasa hawana mapenz ya kwel rather they care watapata nn kwenye relationship,,,
Kwa mda nlioish dunian na kukutana na hawa viumbe kila wakat nimekuja ku-realize wako double faced!,,,
my take;
siwaamin tena wanawake,,an tht wil set me free frm loving sniches!
Mbona wengi tu mwanaume ukimkamata vizuri mbona anakuwa zombi ukikohoa tu hata kama mate yamekupalia huyu hapa,tatzo ni kwamba siku hizi pesa zimewekwa mbele kwa hiyo wamekuwa waoga
Hilo ndo la msingi,tatzo huwa tunafanya maamuzi kwa kuangalia fulani kafanyaje ndo tunapokosea hapo eti kwakuwa shost wako alifunga ndoa na mkacheza kwaito sana yakimshinda ndo anakuwa reference yako tunakosea sana analoshindwa mwenzio haimaanishi na wewe litakushindaKumbe ee,ngoja nimsake then nimweke sawa
1. Friendship
Hapa ni urafiki tu wa kawaida baina ya jinsia mbili
2.casual dating
Mwanaume anaanza kuwa karibu na mwanamke zaidi.
3.Steady dating
Hii ni hatua mwanaume anakuwa karibu na yule binti kama kanisan wanakaa pamoja na wanaahirikiana mambo mengi lakin anakuwa badohajamtamkia chochote bado anamchunguza.
4.Special dating
Mwanaume anakwenda zaidi kuijua familia yake kama marafiki ili amjue mwanamke vivyo hivyo hata mwanamke anakwenda hata kwao mwanamme na hizi zote zinachukua miezi nane mpaka mwaka mmoja.
5.Engage to be engaged
Mwanamme anamtamkia kwamba anampenda na hapo inaweza kuwa imepita mwaka mmoja na nusu.
6.formal engagement.
Wawili hawa wanaanza kupanga maisha yao kwamba wanataka kuwa na watoto wangapi..nyumba wajenge mkoa gani.. wanataka wawe na miradi gani na zikiwapo ziara wanakwenda pamoja.
Kipindi hiki jamii inafaham kwamba wale ni wachumba na hata wazee wao wanafaham na hata kanisa linafaham na mwanaume anajua udhaifu wa mwanaume na hata mwanamme pia .
Ni ktk kipindi hiki wanatoa mahali
7.married
Hii ni hitimisho la uchumba na hapo ndoa haiwezi kuvunjika