Siwaamin wanawake tena!!

Siwaamin wanawake tena!!

Teach me basi Excel
after there... learn how to click like and adding reputation power.. that is the form of at-least showing love to your friends and non-friends!
 
Last edited by a moderator:
Pole sana ila kama wewe ni mtu wa kuanzisha mahusiano kwa kupretend baadhi ya vitu,ambavyo mwisho wa siku unavisahau ni lazima utendwe tuu..wanaume wengi wanashindwa kuishi kwenye uhalisia wanafanya maigizo..kwa hali hii ni lazima nao waigiziwe!
...BTW hata nafsi yako yenyewe sio ya kuiamini sana.
 
Njoo huku kwetu kuna kagiza..seriously hayo makitu ya rep. Power sielew jinsi ya kuyafanya.
mbona bado mchana Jawilat!!?.. subiri basi hata kiwingu cha mvua kiingie!!

tutavunjiwa ujue!
 
Last edited by a moderator:
Acha utoto. Hivi wanawake wangesema hawawaamini tena wanaume dunia ingekuwaje? Wanawake wanavyotendwa na wale waliwaamini! Au hujaona wanawake wanavyolizwa kila leo. Jipange ndio kukua huko mdogo wetu wa mwisho
 
Back
Top Bottom