Siwaamin wanawake tena!!

Siwaamin wanawake tena!!

Brenda 18 ukiwa na haraka hutafaidi abadan
 
Sawa maana ukitaka kupata chema unatakiwa umakin sana
 
pole sana

mambo!!

sijui nimechelewa?

au basi tu.. heri ya mwaka mpya my friend!!

best-friend-gifts.jpg

for you!
 
duniani humu hakuna kinachoaminika!!

trust nothing.. even yourself!!
 
Excel;duniani humu hakuna kinachoaminika!!

trust nothing.. even yourself!!

Mwenye jicho na asome....mwenye akili na aelewe...
 
Excel;duniani humu hakuna kinachoaminika!!

trust nothing.. even yourself!!

Mwenye jicho na asome....mwenye akili na aelewe...

after there... learn how to click like and adding reputation power.. that is the form of at-least showing love to your friends and non-friends!
 
unamwamini MAMA ako tu ama, naye humwamini? endapo unamwamini ujue nae anawakilisha usiowaamini
 
Ni dhahir wasichana/wanawake weng kwa sasa hawana mapenz ya kwel rather they care watapata nn kwenye relationship,,,
Kwa mda nlioish dunian na kukutana na hawa viumbe kila wakat nimekuja ku-realize wako double faced!,,,
my take;
siwaamin tena wanawake,,an tht wil set me free frm loving sniches!

Wanawake wangapi?

--> Ni bahati mbaya sana kwamba umekutana na "wanawake" waliokutenda vibaya. Wengine wanafurahia maisha na wake zao!
 
QUOTE=wengi katika mahusiano wanaruka kanuni saba za uchumba ndio ,.,. maana kizazi hiki chetu ndoa nyingi zinaachika kwa sababu h.,[/QUOTE]
NI KANUNI ZIPI HIZO?
 
inategea unawapata katika mazingira gani. jiassess
 
1. Friendship
Hapa ni urafiki tu wa kawaida baina ya jinsia mbili
2.casual dating
Mwanaume anaanza kuwa karibu na mwanamke zaidi.
3.Steady dating
Hii ni hatua mwanaume anakuwa karibu na yule binti kama kanisan wanakaa pamoja na wanaahirikiana mambo mengi lakin anakuwa badohajamtamkia chochote bado anamchunguza.
4.Special dating
Mwanaume anakwenda zaidi kuijua familia yake kama marafiki ili amjue mwanamke vivyo hivyo hata mwanamke anakwenda hata kwao mwanamme na hizi zote zinachukua miezi nane mpaka mwaka mmoja.
5.Engage to be engaged
Mwanamme anamtamkia kwamba anampenda na hapo inaweza kuwa imepita mwaka mmoja na nusu.
6.formal engagement.
Wawili hawa wanaanza kupanga maisha yao kwamba wanataka kuwa na watoto wangapi..nyumba wajenge mkoa gani.. wanataka wawe na miradi gani na zikiwapo ziara wanakwenda pamoja.
Kipindi hiki jamii inafaham kwamba wale ni wachumba na hata wazee wao wanafaham na hata kanisa linafaham na mwanaume anajua udhaifu wa mwanaume na hata mwanamme pia .
Ni ktk kipindi hiki wanatoa mahali
7.married
Hii ni hitimisho la uchumba na hapo ndoa haiwezi kuvunjika

Wanaofuata hizi procedures kwa sasa kwa wilaya hawajai hata kwenye Bajaj!
 
Ni dhahir wasichana/wanawake weng kwa sasa hawana mapenz ya kwel rather they care watapata nn kwenye relationship,,,
Kwa mda nlioish dunian na kukutana na hawa viumbe kila wakat nimekuja ku-realize wako double faced!,,,
my take;
siwaamin tena wanawake,,an tht wil set me free frm loving sniches!

Mademu wamekutenda bila shaka, introduction ya kwanza ikikosewa utajuta kuzaliwa.
 
1. Friendship
Hapa ni urafiki tu wa kawaida baina ya jinsia mbili
2.casual dating
Mwanaume anaanza kuwa karibu na mwanamke zaidi.
3.Steady dating
Hii ni hatua mwanaume anakuwa karibu na yule binti kama kanisan wanakaa pamoja na wanaahirikiana mambo mengi lakin anakuwa badohajamtamkia chochote bado anamchunguza.
4.Special dating
Mwanaume anakwenda zaidi kuijua familia yake kama marafiki ili amjue mwanamke vivyo hivyo hata mwanamke anakwenda hata kwao mwanamme na hizi zote zinachukua miezi nane mpaka mwaka mmoja.
5.Engage to be engaged
Mwanamme anamtamkia kwamba anampenda na hapo inaweza kuwa imepita mwaka mmoja na nusu.
6.formal engagement.
Wawili hawa wanaanza kupanga maisha yao kwamba wanataka kuwa na watoto wangapi..nyumba wajenge mkoa gani.. wanataka wawe na miradi gani na zikiwapo ziara wanakwenda pamoja.
Kipindi hiki jamii inafaham kwamba wale ni wachumba na hata wazee wao wanafaham na hata kanisa linafaham na mwanaume anajua udhaifu wa mwanaume na hata mwanamme pia .
Ni ktk kipindi hiki wanatoa mahali
7.married
Hii ni hitimisho la uchumba na hapo ndoa haiwezi kuvunjika
cjaelewa mheshiwa hiyo namba 3! kwa wale wamsikitini inakuwaje ?
 
Wewe sio wa kwanza kutendwa na kuacha kuwaamini wanawake.

Wa kwanza alikuwa Adamu, alimpenda sana Hawa lakini aliishia kutendwa tena vibaya sana.

Mwanamke kiasili ni mtu wa maslahi tu, yuko kwako kwa maslahi, na siku akiyakosa kwako yuko tayari kuyatafuta popote hata kwa Nyoka.
 
Back
Top Bottom