Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,306
- 3,413
Ukishindwa kabisa kuwa padri mtakatifu.!
Brenda 18 ukiwa na haraka hutafaidi abadan
pole sana
Excel;duniani humu hakuna kinachoaminika!!
trust nothing.. even yourself!!
Mwenye jicho na asome....mwenye akili na aelewe...
Ni dhahir wasichana/wanawake weng kwa sasa hawana mapenz ya kwel rather they care watapata nn kwenye relationship,,,
Kwa mda nlioish dunian na kukutana na hawa viumbe kila wakat nimekuja ku-realize wako double faced!,,,
my take;
siwaamin tena wanawake,,an tht wil set me free frm loving sniches!
1. Friendship
Hapa ni urafiki tu wa kawaida baina ya jinsia mbili
2.casual dating
Mwanaume anaanza kuwa karibu na mwanamke zaidi.
3.Steady dating
Hii ni hatua mwanaume anakuwa karibu na yule binti kama kanisan wanakaa pamoja na wanaahirikiana mambo mengi lakin anakuwa badohajamtamkia chochote bado anamchunguza.
4.Special dating
Mwanaume anakwenda zaidi kuijua familia yake kama marafiki ili amjue mwanamke vivyo hivyo hata mwanamke anakwenda hata kwao mwanamme na hizi zote zinachukua miezi nane mpaka mwaka mmoja.
5.Engage to be engaged
Mwanamme anamtamkia kwamba anampenda na hapo inaweza kuwa imepita mwaka mmoja na nusu.
6.formal engagement.
Wawili hawa wanaanza kupanga maisha yao kwamba wanataka kuwa na watoto wangapi..nyumba wajenge mkoa gani.. wanataka wawe na miradi gani na zikiwapo ziara wanakwenda pamoja.
Kipindi hiki jamii inafaham kwamba wale ni wachumba na hata wazee wao wanafaham na hata kanisa linafaham na mwanaume anajua udhaifu wa mwanaume na hata mwanamme pia .
Ni ktk kipindi hiki wanatoa mahali
7.married
Hii ni hitimisho la uchumba na hapo ndoa haiwezi kuvunjika
Ni dhahir wasichana/wanawake weng kwa sasa hawana mapenz ya kwel rather they care watapata nn kwenye relationship,,,
Kwa mda nlioish dunian na kukutana na hawa viumbe kila wakat nimekuja ku-realize wako double faced!,,,
my take;
siwaamin tena wanawake,,an tht wil set me free frm loving sniches!
cjaelewa mheshiwa hiyo namba 3! kwa wale wamsikitini inakuwaje ?1. Friendship
Hapa ni urafiki tu wa kawaida baina ya jinsia mbili
2.casual dating
Mwanaume anaanza kuwa karibu na mwanamke zaidi.
3.Steady dating
Hii ni hatua mwanaume anakuwa karibu na yule binti kama kanisan wanakaa pamoja na wanaahirikiana mambo mengi lakin anakuwa badohajamtamkia chochote bado anamchunguza.
4.Special dating
Mwanaume anakwenda zaidi kuijua familia yake kama marafiki ili amjue mwanamke vivyo hivyo hata mwanamke anakwenda hata kwao mwanamme na hizi zote zinachukua miezi nane mpaka mwaka mmoja.
5.Engage to be engaged
Mwanamme anamtamkia kwamba anampenda na hapo inaweza kuwa imepita mwaka mmoja na nusu.
6.formal engagement.
Wawili hawa wanaanza kupanga maisha yao kwamba wanataka kuwa na watoto wangapi..nyumba wajenge mkoa gani.. wanataka wawe na miradi gani na zikiwapo ziara wanakwenda pamoja.
Kipindi hiki jamii inafaham kwamba wale ni wachumba na hata wazee wao wanafaham na hata kanisa linafaham na mwanaume anajua udhaifu wa mwanaume na hata mwanamme pia .
Ni ktk kipindi hiki wanatoa mahali
7.married
Hii ni hitimisho la uchumba na hapo ndoa haiwezi kuvunjika