Siwaamin wanawake tena!!

Siwaamin wanawake tena!!

Ni kweli unayoyaongea ujue tumeathirika na msemo wa samaki mmoja akioza ni wote kuna baadhi ya wanawake pia wakitendwa huwa hawatamani kumuona mwanaume wa aina yoyote na ukifanikiwa kumpata mahusiano huwa magumu sana kipindi cha mwanzoni vivyo hivyo kwa wanaume.

Its true. Ila sasa inabid tubadilike sasa tusihukumu watu wote kwa baya tulilofanyiwa na mtu mmoja. Hata ktk psychology tulisoma kuhusu swala la kugeneraliz group fulan kwa tabia za kundi dogo
 
Shit happens lakini it doesn't mean kila mwanamke ni mbaya. Jiangalie na wewe pia
 
well said mkuu.
umejichunguza na wewe un tatizo gan??ukiwalaum wasichan/wanawake bila kujichunguza ww ni kaz bure mkuu..Je unasamehe ukikosewa??je unamrekebishaje akikosea??mapenzi bila kujifunza jinsi ya kuishi na mwenza wako kwa jinsi alivyo sio mapenz na hutaweza kuish na mwanamke/msichana yoyote
 
1. Friendship
Hapa ni urafiki tu wa kawaida baina ya jinsia mbili
2.casual dating
Mwanaume anaanza kuwa karibu na mwanamke zaidi.
3.Steady dating
Hii ni hatua mwanaume anakuwa karibu na yule binti kama kanisan wanakaa pamoja na wanaahirikiana mambo mengi lakin anakuwa badohajamtamkia chochote bado anamchunguza.
4.Special dating
Mwanaume anakwenda zaidi kuijua familia yake kama marafiki ili amjue mwanamke vivyo hivyo hata mwanamke anakwenda hata kwao mwanamme na hizi zote zinachukua miezi nane mpaka mwaka mmoja.
5.Engage to be engaged
Mwanamme anamtamkia kwamba anampenda na hapo inaweza kuwa imepita mwaka mmoja na nusu.
6.formal engagement.
Wawili hawa wanaanza kupanga maisha yao kwamba wanataka kuwa na watoto wangapi..nyumba wajenge mkoa gani.. wanataka wawe na miradi gani na zikiwapo ziara wanakwenda pamoja.
Kipindi hiki jamii inafaham kwamba wale ni wachumba na hata wazee wao wanafaham na hata kanisa linafaham na mwanaume anajua udhaifu wa mwanaume na hata mwanamme pia .
Ni ktk kipindi hiki wanatoa mahali
7.married
Hii ni hitimisho la uchumba na hapo ndoa haiwezi kuvunjika
 
Sasa wengi wetu mnakutana na mwanamke/mwanaume kwenye fb,jf,whatsapp,viber,mnatongozana na mkikutana siku hiyo mnazin baada ua hapo mnatangaza ndoa!!!!!!! Ni hatari sana ndugu zangu.

Nadhan atug nimeweka hizo kanuni saba za uchumba.
 
1. Friendship
Hapa ni urafiki tu wa kawaida baina ya jinsia mbili
2.casual dating
Mwanaume anaanza kuwa karibu na mwanamke zaidi.
3.Steady dating
Hii ni hatua mwanaume anakuwa karibu na yule binti kama kanisan wanakaa pamoja na wanaahirikiana mambo mengi lakin anakuwa badohajamtamkia chochote bado anamchunguza.
4.Special dating
Mwanaume anakwenda zaidi kuijua familia yake kama marafiki ili amjue mwanamke vivyo hivyo hata mwanamke anakwenda hata kwao mwanamme na hizi zote zinachukua miezi nane mpaka mwaka mmoja.
5.Engage to be engaged
Mwanamme anamtamkia kwamba anampenda na hapo inaweza kuwa imepita mwaka mmoja na nusu.
6.formal engagement.
Wawili hawa wanaanza kupanga maisha yao kwamba wanataka kuwa na watoto wangapi..nyumba wajenge mkoa gani.. wanataka wawe na miradi gani na zikiwapo ziara wanakwenda pamoja.
Kipindi hiki jamii inafaham kwamba wale ni wachumba na hata wazee wao wanafaham na hata kanisa linafaham na mwanaume anajua udhaifu wa mwanaume na hata mwanamme pia .
Ni ktk kipindi hiki wanatoa mahali
7.married
Hii ni hitimisho la uchumba na hapo ndoa haiwezi kuvunjika

kwa hiki kizazi cha dot.com ni wachache sana wanaoweza kuzingatia hayo.
 
Sasa wengi wetu mnakutana na mwanamke/mwanaume kwenye fb,jf,whatsapp,viber,mnatongozana na mkikutana siku hiyo mnazin baada ua hapo mnatangaza ndoa!!!!!!! Ni hatari sana ndugu zangu.

Nadhan atug nimeweka hizo kanuni saba za uchumba.

Asante lutemi katika hizo kanuni yaani wengi wetu hatuzifuat. Tukionana ni kutongozana na mengine yanaendelea. Kweli ni balaa
 
Last edited by a moderator:
Huamini wanawake ama wasichana...maana kama ni wanawake hata mama yako humwamini?
 
Ndio maana ndoa zimekuwa hazina dhaman hata kidogo....na kwa namna ambavyo uovu umezidi vijana tumepumbazwa binti anakubari kuvishwa pete bar!!!!!! Na anasema mpenzi anampenda afu unasema ndoa itadumu ...

Wataachania huko huko bar
Au mwanamke anampenda kijana kwa sababu ya pesa alizo nazo jua ndoa hiyo haiwezi kudumu hata kidogo.
.mme au mke wapendane kwa sababu kila mmoja amempenda mwezake na mambo ya kuangalia kwa wote je mwanamke anaakili ya maendeleo? Je mwanamme anajitambua kuwa atakuwa baba wa familia? Na anaaakili ya kutafuta na kuisimamia nyumba yake?
 
Sio kila msichana ana double face. Wapo ambao wapo comitted wawapo ktk relation ladba bado hujakutana nao. Smtyms God wants to meet wrong ppl inoder to learn smthing.

nimeipenda hii mkuu.you are very right.
 
Ni kweli lakin wengi katika mahusiano wanaruka kanuni saba za uchumba ndio ndio maana kizazi hiki chetu ndoa nyingi zinaachika kwa sababu hiyo mpendwa
Kanuni saba za uchumba ni zipi?
 
Tena usiwaamini kabisa


Ni dhahir wasichana/wanawake weng kwa sasa hawana mapenz ya kwel rather they care watapata nn kwenye relationship,,,
Kwa mda nlioish dunian na kukutana na hawa viumbe kila wakat nimekuja ku-realize wako double faced!,,,
my take;
siwaamin tena wanawake,,an tht wil set me free frm loving sniches!
 
Hilo ndilo neno and the topic is closed. Kuna watu wengine passwords zote wanaacha kwa mdada unategemea nn mtoto wa kiume?

Katika mahusiano wanasema na naamini sio vizuri kumwamini mtu kwa asilimia zote,hiyo haimaanishi kuwa hakuna Wanawake or Wanaume waaminifu la hasha bali ni tahadhal likitokea tatizo uwe ulijikinga.Ila wapo wanawake waaminifu sana tu kama walivyo wanaume ila nao wanamapungufu yao!Wanasema binadamu hatujakamilika.Ila chakufuraisha Binadamu tunarekebishika,angalia wapi unapoangukia kama ni sehemu hiyo hiyo angalia futa utelezi usianguke tena!Heri ya mwaka mpya mkuu

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Ndio kukomaa kwenyewe huko, yaani wewe ulidhani ukiwa na mwanamke au mwanamme basi unaamini ni wa kwako peke yako!!! Hujamuoa, hujamlipia hata senti tano wala hamsaidiani kwa lolote zaid ya ngono halafu unataka awe wako? una kichaa kweli wewe aiseee, Funguka
 
Katika mahusiano wanasema na naamini sio vizuri kumwamini mtu kwa asilimia zote,hiyo haimaanishi kuwa hakuna Wanawake or Wanaume waaminifu la hasha bali ni tahadhal likitokea tatizo uwe ulijikinga.Ila wapo wanawake waaminifu sana tu kama walivyo wanaume ila nao wanamapungufu yao!Wanasema binadamu hatujakamilika.Ila chakufuraisha Binadamu tunarekebishika,angalia wapi unapoangukia kama ni sehemu hiyo hiyo angalia futa utelezi usianguke tena!Heri ya mwaka mpya mkuu

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Good Analysis mkuu...Same to YOU 2014
 
Back
Top Bottom