Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
ah! mzee wa mia,nashukuru mkuu kwa sapoti yako.Nalog offmi hako kanalogofu kako nakapendaga.mia
ah! mzee wa mia,nashukuru mkuu kwa sapoti yako.Nalog offmi hako kanalogofu kako nakapendaga.mia
hahahahaha dah! kitu imenifurahisha kwa kweli.Nalog off
Kuna kamtindo kameingia siku hizi, mtu ana comment halafu anasema "nalog off", na kibaya zaidi unaendelea kumuona online.
Hivi mnaposema "nalog off" mnakuwa mnakwepa maswali au ndio ubitozi wenu tu ndio unaowasumbua?
mambo ya miondoko,hahahahahah Nalog off
Du!Yashakuwa hayo?yahh! Now dayz analog in kwa user name ya jmushil1!
Mkuu njiwa ,vipi kwema? namshukuru sana Bujibuji kaitangaza sana hii trade mark abarikiwe,nawe asante sana kwa sapoti yako.Nalog off
kama hupendi wewe ... ndio uanzishe thread mkuu ..... nalog off!!
I kinda like it, although nalog off again !
mimi siko hapa kukufurahisha wewe,naandika kile ninachokipenda,uneridhwa ama hukuridhishwa kimpango wako,nitaendelea kuandika hivyo bila chenga.Hilo lote donge hilo,wanaona donge hao,hao hao wachekeni,hao hao wazomeeni.Nalog off
Hahahahh.. huyo atakuwa ni BIG Z.
Huyo Jamaa amayekuja kamchunia utadhani hamuoni. Hahah... Nalog IN.mambo ya miondoko,hahahahahah Nalog off
pole kwa mihangaiko ya kila siku,ubarikiwe sana.Nalog offHahahaha walau nimecheka baada ya stress za mhindi..
Kweli jf rahaa sanaa..
Nalog off...tihitihi
huyu angemsaidia,angeharibu picha,ndio maana kamvalia uso wa mbuzi tu.Nalog offHuyo Jamaa amayekuja kamchunia utadhani hamuoni. Hahah... Nalog IN.
kumbe umeshalogin
Mkuu njiwa ,vipi kwema? namshukuru sana Bujibuji kaitangaza sana hii trade mark abarikiwe,nawe asante sana kwa sapoti yako.Nalog off
Nashukuru mkuu nitakuja huko pia kukusapoti ,mpaka kieleweke ndugu yangu zile fitna tuzitoe kabisa.Nalog off
kwema mkuu ... na nipo jukwaa la siasa mara moja kuwafundisha magwanda siasa za kistaarabu... hapa nilipita tu mara moja kukupa support nalog off
Huyu ni BIG X bhana,anataka kumtumbukiza paka halafu yeye ndo katumbukizwaHahahahh.. huyo atakuwa ni BIG Z.
nakuona kwenye threads zingine,vp lakini umeamka poa?hahaha upo wewe?kimya kingi.
dogo kachemka,paka alikwepa halafu katumbukia yeyeHuyu dogo kanifurahisha sana!