Siupendi kabisa huu upumbavu wa "nalog off"

Huo msemo mie nimeupenda.... Sema alouleta anakosea kuutumia,
ilitakiwa autumie pale tu akimaanisha. Kama vile ambavo Klorokwini
akisema ana log off, kweli ana log off!! Itabidi tumpe seminar Washawasha
ambae ndo yupo considered ni trade mark yake...

Bjbj genueinely ndo na "log off"
 
Kuna kamtindo kameingia siku hizi, mtu ana comment halafu anasema "nalog off", na kibaya zaidi unaendelea kumuona online.
Hivi mnaposema "nalog off" mnakuwa mnakwepa maswali au ndio ubitozi wenu tu ndio unaowasumbua?
mimi siko hapa kukufurahisha wewe,naandika kile ninachokipenda,umeridhishwa ama hukuridhishwa kimpango wako,nitaendelea kuandika hivyo bila chenga.Hilo lote donge hilo,wanaona donge hao,hao hao wachekeni,hao hao wazomeeni.Nalog off
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom