Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
niko pamoja nanyi msihofu.Nalog offniko nyuma yako AMINATA!
niko pamoja nanyi msihofu.Nalog offniko nyuma yako AMINATA!
weka kigogo sukuma twende,nimeipenda hii.Nalog offyahh! Now dayz analog in kwa user name ya jmushil1!
fanya faster kabla hawajaiwahi.Nalog offnimeipenda hiyo ya nashut down, ngoja nianze kuitumia.
ntakusapot mwanzo mwisho!! Anza mwaya!!nimeipenda hiyo ya nashut down, ngoja nianze kuitumia.
jmushi1 naona leo umepapenda sana chit - chat. twende zetu kwenye jukwaa la siasa! mi naanza..nalog offKipindi cha nyuma kulikuwa na mwingine aikuwa akimalizia na "Ndo hiyo"
Halafu screen name yake ilikuwa "Habari ndo hiyo"
Amepotea kabisa huyu,labda yuko kwa jina jingine.
niko nyuma yako.Nalog offntakusapot mwanzo mwisho!! Anza mwaya!!
Kuna kamtindo kameingia siku hizi, mtu ana comment halafu anasema "nalog off", na kibaya zaidi unaendelea kumuona online.
Hivi mnaposema "nalog off" mnakuwa mnakwepa maswali au ndio ubitozi wenu tu ndio unaowasumbua?
Hilo lote donge hilo,linaona donge hilo,Me nshamlalamikia huyo washawasha mpaka nkanyamaza! Km mpaka we limekukera bs lazma alog off au aache upuuzi wake! Alah!
karibu tena.Nalog offmmh... haya nami "napita hapa"
usiondoke laazizi kabla hujalog off!jmushi1 naona leo umepapenda sana chit - chat. Twende zetu kwenye jukwaa la siasa! Mi naanza..nalog off
kavae kwanza plz!!!nalog in
Hehehe..... we bora ulog off tu.Nalog in
Mwenzio ndio kavaa hapo... anasikia joto!!!. nashut down!!.kavae kwanza plz!!!
siwezi kuondoka kabla sijakuaga my lazizi wangu..ngoja nilog off kidogo!usiondoke laazizi kabla hujalog off!