Siungi mkono mgomo wa madaktari...

Siungi mkono mgomo wa madaktari...

Kama daktari anaweza kuamua kugoma kabisa na asitoe huduma kwa mtu yeyote yule, sioni kwa nini kwa daktari huyo iwe vigumu kukataa kupokea wagonjwa ambao hana pa kuwalaza.

Naona kama unatumia logic kwenye kujibu maswali yanayohitaji hoja! Nataka kukuhakikishia kuwa binadamu ni zaidi sana kuliko mashine,hivyo ni utakuwa mwongo kama utatabiri tabia na mienendo yake kwa uhakika kama uliivyo nijibu!
Ngoja niulize tena,umeshajiuliza kwa nini mtu atoke kigoma hadi Dar kwa ajili ya matibabu?!
 
Kimsingi madaktari wanaonyesha udhaifu wa weledi pale ambapo mgoonjwa anapewa referral toka Kigoma to Muhimbili na madaktari hawajadevelop utaratibu wowote wa kuicontact Muhimbili kama ina nafasi ya kumpokea huyo mgonjwa! Jukumu la kubuni utaratibu ambao ni functional ni la wataalam ambao ni madaktari.

mbona kama vile unapaniki !hebu jaribu kusoma kwa umakini posts za watu.
ukiweza kuzipatia dawa na vifaa tiba vya kutosha hospitali kama za huko tandahimba utakuwa umepunguza tatizo la msongamano muhimbili.
ukiweza kumlipa daktari maslahi mazuri ataona faraja ya ku-overwork na kupunguza mzigo wa wagonjwa.
ukiweza kufacilitate visiting specialists waweze kwenda vijijni kufanya kazi hata mara tatu kwa mwaka utapunguza msongamano muhimbili.
ukiwa na uongozi mzuri unaoshirikiana na kuheshimu wataalamu wa afya kama vile madaktari,manesi,wafamasia,interns na hata wanafunzi wa afya basi mambo yatakuwa bambam.

kati ya yote niliyotaja hebu niambie ni lipi sio sehemu ya madai ya madaktari??kama mna nia ya dhati ya kumsaidia mwananchi basi wasikilizeni madaktari hawa.
kama wewe ni deo mtasiwa pole sana lakini nikuase tu ukishiba usimsahau na kumdharau mwenye njaa.
 
TUGHE inasemaje kuhusu mgomo huu? Je, madaktari wamekishirikisha chama chao cha wafanyakazi (TUGHE)?
 
Mengi ya madai ya madaktari ni illusion hayawezi kutekelezeka kwa uchumi uliopo...

So kwa madai hayo na kutaka yafanyiwe kazi immediately...inabidi watafute kazi sehemu nyingine..this is free market

Kama unaona muajiri wako hawezi kukutimizia maslahi yako kama upendavyo unaweza kwenda kufanya kazi kwa wahindi...au private sector au waanzishe hospitali zao walipane wenyewe kama watakavyoona inafaa..

Mapato ya madaktari ni sawa na ya mwalimu, ni sawa na ya Askari, ni sawa na ya Mkulima????

Natoa hoja.

Duh!

Kwa hiyo kulipana miposho ya laki 2 kwa wabunge;laki 8 hadi milioni 1 kama posho za vikao vya council za vyuo na boards mbalimbali n.k. ni sawa enh? Rais na wapambe wake kua na safari zisizo na lazima za kwenda nje;kununua magari ya kifahari kwa bei mbaya;kulipia wabunge na mawaziri gharama kubwa za kwenda kutibiwa nje n.k. navyo ni sawa?! Kwa haya uchumi unaruhusu enh?

Serikali lako la C.C.M. ndo limefanya kada nyingi za utumishi kua na maslahi duni!

Kama haya ndio mawazo ya mtetezi wa sera na serikali ya C.C.M. hakika wanyonge watajifia.

Wananchi wameipa mamlaka serikali kuwatumika,hivyo ni wajibu wa serikali kuhakikisha inatumia vizuri kodi kwa ajili ya kuwatumikia walipa kodi. Sasa ukitaka madaktari waende kwenye sekta binafsi,wananchi wenye vipato vidogo watapata wapi huduma za afya?

Hapa serikali haiwezi kukwepa kubebeshwa zigo la lawama. Yenyewe imeshindwa kutumia kodi wananchi wanazotoa katika namna ambayo italeta uwiano katika upatikanaji wa huduma bora za kijamii na maslahi bora kwa watumishi wa umma wa nafasi za kati na chini.
 
TUGHE inasemaje kuhusu mgomo huu? Je, madaktari wamekishirikisha chama chao cha wafanyakazi (TUGHE)?

TUGHE ni wa kutegemea kweli? Tanzania hakuna chama imara cha kuunganisha kada zote za utumishi.

Utasikia RAAWU na THTU kwa watumishi wa vyuo vikuu vya umma. Wafanyakazi wa bandari,reli,walimu,madaktari n.k. nao wana vyama vyao.

Kwa namna hiyo watumishi wanakua hawana umoja! Nafikiri hata sheria zilizopo sasa hazijaweka utaratibu na mazingara mazuri kwa watumishi wote wa umma na binafsi kua na usemi wa pamoja na imara. TUGHE kipo kama picha tu;sawa na Mgaya and co.
 
Kuna aina hizi za wafanyakazi:
1. Wale wanaona wananyanyaswa wanakuwa waoga na kuendlea kuvumilia huku wakinung'unika
2 Wale wanaona wananyanyaswa wanaamua kuondoka na kutafuta kazi kungine
3.Wale wanaona wananyaswa wanachukua hatua kuboresha hali zao kazini

4.Kuna wale wanaoridhika na mambo yalivyo


Kwa muktadha wa Madaktari wanaogoma kutafuta hali bora zaidi ni bora kuliko wanokimbiliwa nje ya nchi . Wanaogoma ni wazalendo zaidi . Medical school is the most difficult academic journey than any , huko hospitali hakuna rushwa za kuwaongezea kipato kama ilivyo kwa mafisadi wengine serikalini

Nchi zote Jirani zinalipa madaktari wao vizuri isipokuwa Burundi na kongo

Tuaache upuuzi daktari anahitaji kukidhi bajeti yake ebu fikiria
1 Ada ya shule kwa watoto wawili si chini ya 3,600,000 yaani aweke sh 300,000/=
Kila mwezi kwa ada tu vinginevyo watoto aende kayumba.
2. Kodi ya nyumba ni sh 300,000/= kule sinza na sehemu nyingine karibu na hospitali zao na panapolingana na hadhi yao
3.Petrol ktk gari lake ni kama sh 300,000/=
4.Offisini atakula sh 7000X30 =210,000/=
5.Bajeti ya home kwa familia ya watu 5(watoto 2 , house girl na baba+Mama ni sh 720,000/=

6.Bajeti ya wazazi= 200,000/=

7.Bajeti ya maendeleo =500,000/=

Total= wapeni 2,500,000

Vingine watachukua rushwa kwa wagonjwa ili kukizi hiyo bajeti

Tuache mzaha

Madaktari wanastahili wanachokidai
 
Kuna madaktari waliona mshahara wa serikali hautoshi ninatoa live examples.

Dr. Bake: Huyu alikuwa anafanya kazi Tumbi hospital akilipwa sh laki 4 kama specialist wa mifupa. Alikuwa smart enough kuona kuwa hawezi kuishi maisha anayotaka kwa mshahara huo. Aliacha kazi kwa notice ya masaa 24 mwaka 1996. Hivi sasa anamiliki kituo cha afya ya mifupa huko Kibaha. Watu wanasafiri long distance kwenda kumuona. Halalamikii tena mshahara.

Daktari anayelilia serikali imuwezeshe kuishi kama mfalme ni yule ambaye hana uhakika na skills zake. kama una skills watu watakufuata popote. Kama watanzania walitumia mamilioni kwenda Loliondo, hawatashindwa kukufuata wewe utakapokuwa.

Kama madaktari wanaweza kuchangiana mamilioni kwa ajili ya harusi, wanashindwa nini kuchanga kufungua vituo vyao binafsi vya tiba? Madaktari wa kihindi wameonyesha kwamba it is possible: Aga Khan, Regency, TMJ, Hindu Mandal etc. Wake up doctors, kutumia muda mwingi kufikiria jinsi ya kuongezewa mshahara is a wrong approach, tumia muda huo kufikiria jinsi utakavyodevelop private practice. Mkifungua vituo vyenu, serikali itatambua thamani yenu, sasa hivi serikalli inajua mna options chache, prove it wrong...
mgomo si.kitu kizuri lakini acha kuzarau taaluma za watu
 
Kuna aina hizi za wafanyakazi:
1. Wale wanaona wananyanyaswa wanakuwa waoga na kuendlea kuvumilia huku wakinung'unika
2 Wale wanaona wananyanyaswa wanaamua kuondoka na kutafuta kazi kungine
3.Wale wanaona wananyaswa wanachukua hatua kuboresha hali zao kazini

4.Kuna wale wanaoridhika na mambo yalivyo


Kwa muktadha wa Madaktari wanaogoma kutafuta hali bora zaidi ni bora kuliko wanokimbiliwa nje ya nchi . Wanaogoma ni wazalendo zaidi . Medical school is the most difficult academic journey than any , huko hospitali hakuna rushwa za kuwaongezea kipato kama ilivyo kwa mafisadi wengine serikalini

Nchi zote Jirani zinalipa madaktari wao vizuri isipokuwa Burundi na kongo

Tuaache upuuzi daktari anahitaji kukidhi bajeti yake ebu fikiria
1 Ada ya shule kwa watoto wawili si chini ya 3,600,000 yaani aweke sh 300,000/=
Kila mwezi kwa ada tu vinginevyo watoto aende kayumba.
2. Kodi ya nyumba ni sh 300,000/= kule sinza na sehemu nyingine karibu na hospitali zao na panapolingana na hadhi yao
3.Petrol ktk gari lake ni kama sh 300,000/=
4.Offisini atakula sh 7000X30 =210,000/=
5.Bajeti ya home kwa familia ya watu 5(watoto 2 , house girl na baba+Mama ni sh 720,000/=

6.Bajeti ya wazazi= 200,000/=

7.Bajeti ya maendeleo =500,000/=

Total= wapeni 2,500,000

Vingine watachukua rushwa kwa wagonjwa ili kukizi hiyo bajeti

Tuache mzaha

Madaktari wanastahili wanachokidai
Nimependa mchanganuo wako.
 
Kuna aina hizi za wafanyakazi:
1. Wale wanaona wananyanyaswa wanakuwa waoga na kuendlea kuvumilia huku wakinung'unika
2 Wale wanaona wananyanyaswa wanaamua kuondoka na kutafuta kazi kungine
3.Wale wanaona wananyaswa wanachukua hatua kuboresha hali zao kazini

4.Kuna wale wanaoridhika na mambo yalivyo


Kwa muktadha wa Madaktari wanaogoma kutafuta hali bora zaidi ni bora kuliko wanokimbiliwa nje ya nchi . Wanaogoma ni wazalendo zaidi . Medical school is the most difficult academic journey than any , huko hospitali hakuna rushwa za kuwaongezea kipato kama ilivyo kwa mafisadi wengine serikalini

Nchi zote Jirani zinalipa madaktari wao vizuri isipokuwa Burundi na kongo

Tuaache upuuzi daktari anahitaji kukidhi bajeti yake ebu fikiria
1 Ada ya shule kwa watoto wawili si chini ya 3,600,000 yaani aweke sh 300,000/=
Kila mwezi kwa ada tu vinginevyo watoto aende kayumba.
2. Kodi ya nyumba ni sh 300,000/= kule sinza na sehemu nyingine karibu na hospitali zao na panapolingana na hadhi yao
3.Petrol ktk gari lake ni kama sh 300,000/=
4.Offisini atakula sh 7000X30 =210,000/=
5.Bajeti ya home kwa familia ya watu 5(watoto 2 , house girl na baba+Mama ni sh 720,000/=

6.Bajeti ya wazazi= 200,000/=

7.Bajeti ya maendeleo =500,000/=

Total= wapeni 2,500,000

Vingine watachukua rushwa kwa wagonjwa ili kukizi hiyo bajeti

Tuache mzaha

Madaktari wanastahili wanachokidai
mkuu ongezea 300000 kwa ajili ya kuwapa wagonjwa wasio na nauli za kurudia nuymbani,au wale waliokosa dawa hospitalini.
 
Kuna madaktari waliona mshahara wa serikali hautoshi ninatoa live examples.

Dr. Bake: Huyu alikuwa anafanya kazi Tumbi hospital akilipwa sh laki 4 kama specialist wa mifupa. Alikuwa smart enough kuona kuwa hawezi kuishi maisha anayotaka kwa mshahara huo. Aliacha kazi kwa notice ya masaa 24 mwaka 1996. Hivi sasa anamiliki kituo cha afya ya mifupa huko Kibaha. Watu wanasafiri long distance kwenda kumuona. Halalamikii tena mshahara.

Daktari anayelilia serikali imuwezeshe kuishi kama mfalme ni yule ambaye hana uhakika na skills zake. kama una skills watu watakufuata popote. Kama watanzania walitumia mamilioni kwenda Loliondo, hawatashindwa kukufuata wewe utakapokuwa.

Kama madaktari wanaweza kuchangiana mamilioni kwa ajili ya harusi, wanashindwa nini kuchanga kufungua vituo vyao binafsi vya tiba? Madaktari wa kihindi wameonyesha kwamba it is possible: Aga Khan, Regency, TMJ, Hindu Mandal etc. Wake up doctors, kutumia muda mwingi kufikiria jinsi ya kuongezewa mshahara is a wrong approach, tumia muda huo kufikiria jinsi utakavyodevelop private practice. Mkifungua vituo vyenu, serikali itatambua thamani yenu, sasa hivi serikalli inajua mna options chache, prove it wrong...

Wewe inaonekana unaleta siasa kwenye maslahi ya madaktari. Hizi kauli za kejeli kuwa daktari mwenye skills angefungua kituo chake cha tiba zinajibika kirahisi tu: kama unaona daktari hana skills jitibieni wenyewe huko mitaani. Kama imefikia sehemu mnadhani daktari anachaguliwa kwa kura au kuteuliwa na rais kama mkuu wa wilaya endeleeni halafu kila mtu ataula jeuri yake. Kwa hiyo na siku wanajeshi watakapodai maslahi yao nao utawataka waprove skills zao kwa kufungua vituo vyao vya kijeshi?

Hivi una hakika kuwa hakujawahi kufanyika juhudi za kuyajadili haya mezani hapo kabla au unaongea kutafuta sifa mbele za watu? The same maneno yalitamkwa na rais akiongea na wacheza bao wa mwembe yanga (wazee wa dsm: sijui hii tittle wamepataje) na kufikia kuwaita wafanyakazi mbayuwayu. Rais aliambiwa na Kapuya kuwa yeye (kapuya) alishakutana nao na kufanya kikao kwa hiyo anamshangaa Mgaya (TUCTA) kwa nini aandae mgomo, lkn later on ikaja kugundulika kuwa si kweli. Rais alitumia akili za kuambiwa bila kuchanganya na zake.

Sasa hizi habari ulizotumwa na Blandina Nyoni kuzileta hapa kwa utungaji mzuuuuri zipotoshe watu cheka nazo kwa kuwa hatukujui wewe ni nani lkn nakuhakikishia kuwa mamia ya maelfu ya madaktari waliogoma ni watu wazima wenye akili zao. Mwambie aliyekutuma kuwa, kuwa waziri ilhali huna akili ni rahisi na ndio maana tuna mawaziri wanaolala bungeni, tuna wengine wasioojua nini kinaendelea ktk wizara wanazoziongoza n.k lkn kuwa daktari lzm uelewane na shule. Sasa kama Blandina Nyoni ameingia ofisini kwa uteuzi wa kisiasa, mwambie daktari yupo hospitali kwa taaluma yake.

Kawaambie wabunge, kama wanaona posho hazitoshi, waoneshe competence yao kwa kuanzisha mabunge yao na wajilipe posho kadiri wanavyopenda. Huku unakoleta siasa na kujua kwingi kunahusisha maisha ya watu kuwa makini na siasa zako.
 
Wewe inaonekana unaleta siasa kwenye maslahi ya madaktari. Hizi kauli za kejeli kuwa daktari mwenye skills angefungua kituo chake cha tiba zinajibika kirahisi tu: kama unaona daktari hana skills jitibieni wenyewe huko mitaani. Kama imefikia sehemu mnadhani daktari anachaguliwa kwa kura au kuteuliwa na rais kama mkuu wa wilaya endeleeni halafu kila mtu ataula jeuri yake. Kwa hiyo na siku wanajeshi watakapodai maslahi yao nao utawataka waprove skills zao kwa kufungua vituo vyao vya kijeshi?

Hivi una hakika kuwa hakujawahi kufanyika juhudi za kuyajadili haya mezani hapo kabla au unaongea kutafuta sifa mbele za watu? The same maneno yalitamkwa na rais akiongea na wacheza bao wa mwembe yanga (wazee wa dsm: sijui hii tittle wamepataje) na kufikia kuwaita wafanyakazi mbayuwayu. Rais aliambiwa na Kapuya kuwa yeye (kapuya) alishakutana nao na kufanya kikao kwa hiyo anamshangaa Mgaya (TUCTA) kwa nini aandae mgomo, lkn later on ikaja kugundulika kuwa si kweli. Rais alitumia akili za kuambiwa bila kuchanganya na zake.

Sasa hizi habari ulizotumwa na Blandina Nyoni kuzileta hapa kwa utungaji mzuuuuri zipotoshe watu cheka nazo kwa kuwa hatukujui wewe ni nani lkn nakuhakikishia kuwa mamia ya maelfu ya madaktari waliogoma ni watu wazima wenye akili zao. Mwambie aliyekutuma kuwa, kuwa waziri ilhali huna akili ni rahisi na ndio maana tuna mawaziri wanaolala bungeni, tuna wengine wasioojua nini kinaendelea ktk wizara wanazoziongoza n.k lkn kuwa daktari lzm uelewane na shule. Sasa kama Blandina Nyoni ameingia ofisini kwa uteuzi wa kisiasa, mwambie daktari yupo hospitali kwa taaluma yake.

Kawaambie wabunge, kama wanaona posho hazitoshi, waoneshe competence yao kwa kuanzisha mabunge yao na wajilipe posho kadiri wanavyopenda. Huku unakoleta siasa na kujua kwingi kunahusisha maisha ya watu kuwa makini na siasa zako.

Wewe unaonekana uko frustrated, ila siyo kosa lako.

Kama madaktari walishawahi kupeleka pendekezo la kupewa 3.5mil tuambie ni lini walifanya hivyo?
 
Wewe inaonekana unaleta siasa kwenye maslahi ya madaktari. Hizi kauli za kejeli kuwa daktari mwenye skills angefungua kituo chake cha tiba zinajibika kirahisi tu: kama unaona daktari hana skills jitibieni wenyewe huko mitaani. Kama imefikia sehemu mnadhani daktari anachaguliwa kwa kura au kuteuliwa na rais kama mkuu wa wilaya endeleeni halafu kila mtu ataula jeuri yake.
Kwa hiyo na siku wanajeshi watakapodai maslahi yao nao utawataka waprove skills zao kwa kufungua vituo vyao vya kijeshi?

Hivi una hakika kuwa hakujawahi kufanyika juhudi za kuyajadili haya mezani hapo kabla au unaongea kutafuta sifa mbele za watu? The same maneno yalitamkwa na rais akiongea na wacheza bao wa mwembe yanga (wazee wa dsm: sijui hii tittle wamepataje) na kufikia kuwaita wafanyakazi mbayuwayu. Rais aliambiwa na Kapuya kuwa yeye (kapuya) alishakutana nao na kufanya kikao kwa hiyo anamshangaa Mgaya (TUCTA) kwa nini aandae mgomo, lkn later on ikaja kugundulika kuwa si kweli. Rais alitumia akili za kuambiwa bila kuchanganya na zake.

Sasa hizi habari ulizotumwa na Blandina Nyoni kuzileta hapa kwa utungaji mzuuuuri zipotoshe watu cheka nazo kwa kuwa hatukujui wewe ni nani lkn nakuhakikishia kuwa mamia ya maelfu ya madaktari waliogoma ni watu wazima wenye akili zao. Mwambie aliyekutuma kuwa, kuwa waziri ilhali huna akili ni rahisi na ndio maana tuna mawaziri wanaolala bungeni, tuna wengine wasioojua nini kinaendelea ktk wizara wanazoziongoza n.k lkn kuwa daktari lzm uelewane na shule. Sasa kama Blandina Nyoni ameingia ofisini kwa uteuzi wa kisiasa, mwambie daktari yupo hospitali kwa taaluma yake.

Kawaambie wabunge, kama wanaona posho hazitoshi, waoneshe competence yao kwa kuanzisha mabunge yao na wajilipe posho kadiri wanavyopenda. Huku unakoleta siasa na kujua kwingi kunahusisha maisha ya watu kuwa makini na siasa zako.

Umeshawahi kujiuliza kwanini senior specialists hawagomi?
 
mkuu ongezea 300000 kwa ajili ya kuwapa wagonjwa wasio na nauli za kurudia nuymbani,au wale waliokosa dawa hospitalini.

Thinking ya watanzania iko very defective kama watu wamerogwa. Wabunge wanasema wanataka posho kubwa ili wakawape wananchi, madaktari nao wanataka waongozewe pesa ya kuwapa wagonjwa. Hivi aliyewaambia mna jukumu la kugawa pesa ni nani? Kama serikali ina hizo pesa si iwape wananchi wake yenyewe moja kwa moja?
 
Wewe unaonekana uko frutrated, ila siyo kosa lako.

Kama madaktari walishawahi kupeleka pendekezo la kupewa 3.5mil tuambie ni lini walifanya hivyo?

Siwi frustrated na maneno ya mtu aliyetumwa kama wewe. Haya madai yao yamewekwa pamoja. Kama mwaka juzi walidai 2.2m leo wakagoma na kudai 3.5m tafsiri hapo ni kuwa wanadai nyongeza ya mshahara. Shida yangu ni namna yako ya kuonesha kuwa those doctors are some tinny tycoons trying to prove their existence to the public for no reasons.

Na kudhihirisha umetumwa unaniambia niwaambie, wewe na nani?
 
Umeshawahi kujiuliza kwanini senior specialists hawagomi?

Sina haja ya kujiuliza kwa kuwa hata siku moja sijasikia mbunge au waziri wetu katimkia kufanya kazi nje ya nchi kwa kuwa hana huo uwezo na hapa analipwa vizuri na maslahi yake yanazingatiwa. Lkn ni watu wangapi wanakuwa consulted na senior specialists? Au unataka kuniambia na senior specialists nao wanalipwa laki 7?
 
Caveat: Mimi siyo Daktari. Ni mwana JF!

Naomba nitoe sent zangu mbili. Nimefuatilia huu mjadala nimegundua mambo kadhaa.

1. Wengi wetu tunapenda kutoa majibu rahisi kwa maswali magumu. Mfano mtu anadiriki kusema kwamba madaktari siyo indispensable, serikali iwafukuze, iwape ultimatum ya kuingia kazini wasipotaka waondoke. Really? Sometimes unasoma thread humu unajiuliza labda mtoa thread ni miongozi mwa wale wateule wachache wanaotibiwa mafua India na kucheck afya zao London! They are simply out of touch na maisha ya mtanzania huyo huyo wanayetumia jina lake kujustify uchoyo na unafiki wao.

2. Hapa, watu wanaligeuza hili swala lionekane ni sehemu fulani ya wananchi wanataka special privilege. No! Hapa kinachodaiwa ni serikali yetu kutimiza wajibu wake. Simple! Hivi kwa nini watanzania wenzangu tunapenda kila kitu siasa jamani (tena za maji taka!). Kwa nini Daktari aonekane ndo mwenye wajibu wa kusacrifice maisha na taaluma yake for the common good? and not a Minister or MP or any other person? Tusitake kuwafanya hawa madaktari waji-feel guilty. They are simply demanding what is rightfully theirs. Unajua watanzania tumezoea porojo. Mtu anadiriki kusema kwamba wasiotaka mazingira ya sasa waondoke. Na ndo mnataka nyinyi wenye dhamana ya uongozi ndo muendelee kutibiwa India kwa kodi za hawa hawa mnaotaka waendelee kulala chini? Hivi viongozi wetu mnatumia akili gani?

Its really a shame mpaka leo wachache wetu tuliokwenda shule na tumekabidhiwa dhamana za uongozi..tunataka wananchi waendelee kuamini kwamba serikali inafanya favour kwa wananchi wake? Please! Thats what they are paid to do! Yes 'Tanzania is poor' lakini you dare give an MP a pay rise from 70,000 to 200,000..kwa kigezo kwamba maisha yamepanda..you wonder watanzania wengine tunaishi wapi..kama maisha yanapanda kwa 'waheshimiwa tuu'. Tanzania can be better than this. Viongozi wanakaa..completely out of touch na maisha ya wanaowaongoza. Clearly unless and until the 'elites' of this country the likes of Zemarcopolo et al....waanze kutumia vichwa kufikiria na kutatua matatizo ya nchi yetu..we are in for the long night. Tuache kutoa majibu marahisi kwa maswali magumu. Huu mgomo wa madaktari ni dalili ya kansa inayokua kwa kasi. Nchi yetu imekuwa kama kampuni ya mtu binafsi ambayo inaongozwa na watu wanaodhani watakufa kesho kwa hiyo inabidi wamalize kila kitu. In fact hata kampuni yenyewe hatuijengi kusudi inufaishe hata wanaobaki! The elites of this country are too greedy.

Tanzania ina changamoto nyingi sana lakini, kwa mtindo huu hatuwezi kuzikabili kabisa na ndo unakuta the likes of Zemarcopolo wanatoa majibu mepesi kama haya precisely because they are out of touch. Kama wangekuwa wanajua huduma za afya sehemu kama huko Kazuramimba, Chivu, Ntobeye, nk....kama wangejua kwamba kuna watu wanafanyiwa opereshen kwa taa ya chemli, kama wangejua kuna watu wanakufa kwa sababu daktari ni mmoja na kazi ni nyingi..hakika wasingeyasema haya. Lakini, kwa sababu tunaishi nchi ya walanguzi..wizara imeshakuwa agency ya kupeleka wakubwa India na kwingineko kutibiwa..well, what would you expect?

Its only in Tanzania/Africa where politicians are filthy rich and citizens are terribly poor!

We can do better than this. But we have to start from somewhere.

Masanja
 
Back
Top Bottom