Siungi mkono mgomo wa madaktari...

Daktari mmoja katika ukurasa wa faebook leo ameandika hivi:

GOOD NEWS: Pamoja na mgomo,wauguzi wa Mbeya Referral Hospital wameniwekea tools up na kumsaidia mchumba wangu,kajifungua mtoto wa kiume,kilo 3.1, na APGAR Score 9-10. Mungu awabariki wote walioshiriki katika huduma hii na maombi haya.

Do we learn anything from this?

Tuliweka bayana kwamba emergencies, meaning huduma za dharura kama Casuality emergency department, Labour ward, huduma zinaendelea kutolewa. So mchumba kupata huduma hilo linatarajiwa, hata wewe mkuu leo ukienda emergency department unapata huduma.
 
Wewe inaonekana unaleta siasa kwenye maslahi ya madaktari. Hizi kauli za kejeli kuwa daktari mwenye skills angefungua kituo chake cha tiba zinajibika kirahisi tu: kama unaona daktari hana skills jitibieni wenyewe huko mitaani. Kama imefikia sehemu mnadhani daktari anachaguliwa kwa kura au kuteuliwa na rais kama mkuu wa wilaya endeleeni halafu kila mtu ataula jeuri yake. Kwa hiyo na siku wanajeshi watakapodai maslahi yao nao utawataka waprove skills zao kwa kufungua vituo vyao vya kijeshi?

Hivi una hakika kuwa hakujawahi kufanyika juhudi za kuyajadili haya mezani hapo kabla au unaongea kutafuta sifa mbele za watu? The same maneno yalitamkwa na rais akiongea na wacheza bao wa mwembe yanga (wazee wa dsm: sijui hii tittle wamepataje) na kufikia kuwaita wafanyakazi mbayuwayu. Rais aliambiwa na Kapuya kuwa yeye (kapuya) alishakutana nao na kufanya kikao kwa hiyo anamshangaa Mgaya (TUCTA) kwa nini aandae mgomo, lkn later on ikaja kugundulika kuwa si kweli. Rais alitumia akili za kuambiwa bila kuchanganya na zake.

Sasa hizi habari ulizotumwa na Blandina Nyoni kuzileta hapa kwa utungaji mzuuuuri zipotoshe watu cheka nazo kwa kuwa hatukujui wewe ni nani lkn nakuhakikishia kuwa mamia ya maelfu ya madaktari waliogoma ni watu wazima wenye akili zao. Mwambie aliyekutuma kuwa, kuwa waziri ilhali huna akili ni rahisi na ndio maana tuna mawaziri wanaolala bungeni, tuna wengine wasioojua nini kinaendelea ktk wizara wanazoziongoza n.k lkn kuwa daktari lzm uelewane na shule. Sasa kama Blandina Nyoni ameingia ofisini kwa uteuzi wa kisiasa, mwambie daktari yupo hospitali kwa taaluma yake.

Kawaambie wabunge, kama wanaona posho hazitoshi, waoneshe competence yao kwa kuanzisha mabunge yao na wajilipe posho kadiri wanavyopenda. Huku unakoleta siasa na kujua kwingi kunahusisha maisha ya watu kuwa makini na siasa zako.

Mkuu achana na huyo mtumwa wa fikra.... we are talking of improving civil servant life yeye ana mfano mmoja wa Dr. ambaye si ajabu hakusoma Tanzania....

Anatumika tu na ndio maana huu mgomo sio wa private hospitals bali ni wa government employees

Kuna siku atasema fulani alishindwa urais kwahiyo ameamua kufumgua ikulu yake pale ubungo na anaendesha serikali yake pale bila shida

WABUNGE WAMESET WRONG PRECEDENT AND THEY ARE NOT IN ANY WAY GOING TO SOLVE DRS. CRISIS COZ THEY ARE SELFISH
 
Tuliweka bayana kwamba emergencies, meaning huduma za dharura kama Casuality emergency department, Labour ward, huduma zinaendelea kutolewa. So mchumba kupata huduma hilo linatarajiwa, hata wewe mkuu leo ukienda emergency department unapata huduma.
mUULIZE SIMU NGAPI AMEPIGA NA KUJIPENDEKEZA, NA WANGEJUA HUKU ANAWEKA UPUPU ANGEONA
 
Wapo watu wanataka mema lakini hawataki kulipia gharama ya mema hayo. Wapo wanataka waone kuwa huduma ya afya nchini inaboreshwa lakini hawako tayrai kuona kuwa serikali inalazimishwa kuboresha huduma hiyo baada ya njia nyingine zote kushindwa. Ni sawasawa na mtu ambaye anataka kubakia na keki yake lakini wakati huo huo anataka kuila.
hivi unatambua kuwa sisi masikini wa Tanzania ndio wengi tunaohuduria hospitali za serikali?ndio....hatuwezi kwenda hospitali binafsi ambako dozi ya malaria ni 10,000 na zaidi! mgomo wa madaktari hauwathiri wenye uwezo wa kwenda india kutibiwa mafua! OK..let's say serikali imekubali kuwaongezea marupurupu, & let's think wakaamua kuongeza gharama za matibabu mahospitalini ili kupata pesa za uendeshaji(mfano mzuri ni umeme),hivi akina sisi si ndo tutaishia kufia mapokezi ktk hospitali zetu kwa kushindwa gharama?MM just be honest wc me, hivi kweli unaamini kuwa mgomo huu unaziathiri familia za watu kama jk,lowasa,mengi,slaa,mbowe,vijisenti etc?
 
Mwisho: Mgomo ni risasi ya mwisho. Si sahihi kwa wasomi kutatua changamoto wanazokutana nazo kwa kuanzia na mgomo. Tanzania ni nchi masikini, ili umasikini huo uondoke ni LAZIMA tushirikiane WOTE kuutoa. Ewe daktari, jiulize ni mara ngapi umeingia kazini kwa muda unaostahili na ukafanya kazi mpaka muda wa kazi kuisha? Je, tabia yako ya kila siku kazini inachangia kuondoa umasikini wa nchi yetu? Kila mtu aweke jibu lake moyoni na kujiuliza tena, je mgomo unaoendelea hivi sasa unapaswa kuungwa mkono? Je, kwa siku hizi mlizogoma mshahara mnauchukua wote bila aibu?

Huo ndio ujinga ambao wanasiasa wa TZ wanataka kuuaminisha umma wa watanzania; kwamba Tanzania ni maskini!!
Tanzania si maskini hata kidogo; ila tuna umaskini wa fikra katika viongozi wetu kuanzia ngazi ya rais hadi mwenyekiti wa kitongoji!! Wao wanawaza kupiga deal tu za kuwezesha matumbo yao yajae; huku raia wakipigika na maisha!!

Rais wa nchi yenye maziwa kila kona, mito inayotiririsha maji karibu mwaka mzima; madini kila kona; ardhi yenye rutuba kwa kilimo katika mikoa ya Kagera, Mbeya, Rukwa, Manyara (haswa Babati, Karatu na Hanang'), Morogoro, Iringa na Dodoma (Dodoma ni very potential kwa irrigated agriculture); gesi; misitu na wanyamapori n.k. bila aibu anaenda mbele za watu wenye akili zao akiropoka na kulialia kuomba apewe misaada!! Hapa kweli utasema nchi ni maskini au kiongozi wake ndio ana fikra za kimaskini!?!?

Ni kweli ili umaskini uondoke lazima juhudi za pamoja zifanyike; na juhudi kubwa sasa ni kuwa na katiba imara na ya watu itakayo weka taratibu, muungozo na kanuni za namna rasilimali za nchi zinatumika katika namna ambayo nchi na watu wake watanufaika; na katiba ambayo itaweka misingi na miingozo ya namna ya kudeal na viongozi wabadhirifu na wasiojali maslahi ya wengi.
 
hivi unatambua kuwa sisi masikini wa Tanzania ndio wengi tunaohuduria hospitali za serikali?ndio....hatuwezi kwenda hospitali binafsi ambako dozi ya malaria ni 10,000 na zaidi! mgomo wa madaktari hauwathiri wenye uwezo wa kwenda india kutibiwa mafua! OK..let's say serikali imekubali kuwaongezea marupurupu, & let's think wakaamua kuongeza gharama za matibabu mahospitalini ili kupata pesa za uendeshaji(mfano mzuri ni umeme),hivi akina sisi si ndo tutaishia kufia mapokezi ktk hospitali zetu kwa kushindwa gharama?MM just be honest wc me, hivi kweli unaamini kuwa mgomo huu unaziathiri familia za watu kama jk,lowasa,mengi,slaa,mbowe,vijisenti etc?
Vipi when they increased posho za doctors did they add anything ssomewhere ?

Jifunze costing ya public service in general and how the resources are allocated before jumping into some political swings
 
Huo ndio ujinga ambao wanasiasa wa TZ wanataka kuuaminisha umma wa watanzania; kwamba Tanzania ni maskini!!
Tanzania si maskini hata kidogo; ila tuna umaskini wa fikra katika viongozi wetu kuanzia ngazi ya rais hadi mwenyekiti wa kitongoji!! Wao wanawaza kupiga deal tu za kuwezesha matumbo yao yajae; huku raia wakipigika na maisha!!

Rais wa nchi yenye maziwa kila kona, mito inayotiririsha maji karibu mwaka mzima; madini kila kona; ardhi yenye rutuba kwa kilimo katika mikoa ya Kagera, Mbeya, Rukwa, Manyara (haswa Babati, Karatu na Hanang'), Morogoro, Iringa na Dodoma (Dodoma ni very potential kwa irrigated agriculture); gesi; misitu na wanyamapori n.k. bila aibu anaenda mbele za watu wenye akili zao akiropoka na kulialia kuomba apewe misaada!! Hapa kweli utasema nchi ni maskini au kiongozi wake ndio ana fikra za kimaskini!?!?

Ni kweli ili umaskini uondoke lazima juhudi za pamoja zifanyike; na juhudi kubwa sasa ni kuwa na katiba imara na ya watu itakayo weka taratibu, muungozo na kanuni za namna rasilimali za nchi zinatumika katika namna ambayo nchi na watu wake watanufaika; na katiba ambayo itaweka misingi na miingozo ya namna ya kudeal na viongozi wabadhirifu na wasiojali maslahi ya wengi.
Tanzania in masking sana Ndio maana tunagawa gold kwa Wazungu na kutumia billions in travels and workshops
 
Nilitegemea madaktari waje na hoja kwenye mijadala kama hii, lakini it is crystal clear kwamba hakuna daktari aliyeweza kujibu hoja mpaka sasa. Wote waliojitokeza wanaonyesha symptoms za frustrations tu ambazo kwa umoja wake huitwa burnout syndrome.Mfano: daktari anayeposema mwanzilishi wa thread hii ametumwa na Blandina Nyoni anadhihirisha kuwa uwezo wake wa kuchambua mambo uko significantlly compromised!
 
Very poor argument!

Serikali imetangaza nafasi za kazi madaktari wakaomba wakijua mshahara wa mwajiri wao ni shillingi ngapi?

Kama wanaona hautoshi just QUIT this is free market..waende wakaajiriwe na wahindi au wajenge hospitali zao halafu walipane kama wataweza ..


Waache madai illusions tu..
Maandishi yako yanadhihirisha utupu wako kichwani. Nakushauri rudi msikitini ukaendelee kuutetea uslam, hii ngoma waachie madokta wanaoiweza.
 
Uunge mkono au usiunge,is your case. mgomo uko palepale,just stand aside and watch!
 
[/I][/COLOR]Madaktari hawajioni kuwa they are indespenble, they are infact indespensable. So get that right Pasco. Sina nia ya kudharau taaluma yoyote ila niseme kuna taaluma ambazo zinaweza kufanywa na watu tofauti. Kwa mfano kazi kama ualimu inaweza kufanywa na watu mbalimbali hata wale ambao hawakusomea ualimu per se as long as wana elimu ya kuridhisha. Ndio maana hata huku mtaani kuna watu wanafundisha tuition vizuri kwenye masomo mbalimbali. Lakini ni vigumu sana kumchukua mtu ambaye hajasomea udaktari, hata kama ana PhD I.e ya Economics na kumwambia aingie wodini kutibu wagonjwa!

Na hapa ndio nataka ku-question your level of understanding wewe Pasco. Labda nikuulize Pasco mwanao akiwa mgonjwa unaweza kumpleka kwa mkuu wa Wilaya ambaye hakusomea udaktari ili amtibu? au unaweza kumuita police yoyote aje kumchoma mwanao sindano hata kama huyo polisi hajawahi kuona darasa la udaktari?[/QUOTE]Sikubaliani na hoja za pasco kwani anaandika kama kuwadi wa serikali. Lakini hata hivyo ktk nchi yetu taaluma ya udaktari imevamiwa na makanjanja kama zilivyo taaluma nyingine. Huku mtaani tunatibishana kwa dawa za hospital bila hata hao madaktari waliosomea, hivyo hakuna tofauti kati ya mwalimu wa tuisheni wa mtaani na daktari kanjanja wa mtaani. Ndio Tanzania ya wala rushwa ilivyo sasa hivi. Kama hujui njoo huku uswazi ushuhudie,na kama tungesubiri tiba ya hospitali tungekuwa tumeisha siku nyingi. Kwanza hesabu mwenye ziko hospitali ngapi za kuwa hudumia watanzania milioni4o?
 
Nimekua nkifatilia migomo ya madaktari na wauguzi Tanzania japo nashangaa jinsi Serikali inavo wapa kiaumbele.Mshahara wa Dkt leo hii ni mkubwa sana ukiliganisha na watumishi wengine wenye Degree.Huu ni usaliti kwa wattumishi wengine.
Leo hii mshahara wa Nesi mwenye Certificate ni sawa na Bachelor nyingine za tanzainia
 
Hao watumishi wengine si wameridhika na hiyo mishahara midogo! Wenzao madaktari wanajua msoto waliokula chuoni na risks wakumbanazo katika kazi yao ndio maana kila mara hudai a better pay.

Hao watumishi wengine wamebaki kulalamika tu wala hawachukui hatua yoyote hivyo huonekana wameridhika! Mfano waalimu ambao ni muhimu sana na wanastahili malipo mazuri na mazingira bora ya kazi lakini hawapati na kila mwaka wanaridhika kukopwa na serikali. Baada ya 5yrs ndio wa kwanza kuirudisha serikali madarani, sasa we unalalamika nini?

Wasemaje kuhusu Wabunge? Je, wao hawawasaliti watanzania maskini kwa kugawiana posho kila wakaapo? Jaribu kufikiri kwa upana zaidi.
 
hilo swali kawaulize kwanza wabunge ndio utapewa majibu

jibu hoja ya mleta mada,iweje madaktari walipwe mishahara mikubwa kuliko watumishi wengine wa umma?? wote tunanunua vyakula na mboga sehemu moja(madukani au sokoni) kwann wao ndo wanaoskilizwa??Kama wanataka ubunge waende wagombee
 
jibu hoja ya mleta mada,iweje madaktari walipwe mishahara mikubwa kuliko watumishi wengine wa umma?? wote tunanunua vyakula na mboga sehemu moja(madukani au sokoni) kwann wao ndo wanaoskilizwa??Kama wanataka ubunge waende wagombee

Vipi wewe/nyinyi mmedai malipo zaidi mkanyimwa? Je mmethubutu hata kudai? Msibaki kulalamika tu jamani kwamba wao wanalipwa zaidi. Wanaijua thamani yao!
 
Hao watumishi wengine si wameridhika na hiyo mishahara midogo! Wenzao madaktari wanajua msoto waliokula chuoni na risks wakumbanazo katika kazi yao ndio maana kila mara hudai a better pay.

Hao watumishi wengine wamebaki kulalamika tu wala hawachukui hatua yoyote hivyo huonekana wameridhika! Mfano waalimu ambao ni muhimu sana na wanastahili malipo mazuri na mazingira bora ya kazi lakini hawapati na kila mwaka wanaridhika kukopwa na serikali. Baada ya 5yrs ndio wa kwanza kuirudisha serikali madarani, sasa we unalalamika nini?

Wasemaje kuhusu Wabunge? Je, wao hawawasaliti watanzania maskini kwa kugawiana posho kila wakaapo? Jaribu kufikiri kwa upana zaidi.

si kweli kila mtumishi anastahili better pay.Madkt wakigoma wanaongezwa mshahara haraka kulingana nature ya kazi yao.Lakin je,ni sahihi serikali kuwasikiliza madaktari tu.Mwalimu mwenye Degree alipwe sawa na nesi mwenye cheti??ni sahihi
 
Mkuu achana na huyo mtumwa wa fikra.... we are talking of improving civil servant life yeye ana mfano mmoja wa Dr. ambaye si ajabu hakusoma Tanzania....

Anatumika tu na ndio maana huu mgomo sio wa private hospitals bali ni wa government employees

Kuna siku atasema fulani alishindwa urais kwahiyo ameamua kufumgua ikulu yake pale ubungo na anaendesha serikali yake pale bila shida

WABUNGE WAMESET WRONG PRECEDENT AND THEY ARE NOT IN ANY WAY GOING TO SOLVE DRS. CRISIS COZ THEY ARE SELFISH

Wabunge walidhani kujiongezea kwao 'ujira wa mwiha' kutapita hivi hivi. Haya sasa, wameshafungua pandoras box wakae mkao wakupokea madai ya wanajamii wengine!
 
Back
Top Bottom