Sitti Mtemvu kuzindua Kitabu cha 'Chozi la Sitti'

Sitti Mtemvu kuzindua Kitabu cha 'Chozi la Sitti'

Nimekubali strategies na gutts zake after kusemwa kote kule bado karudi diii!!!
 
hope kwenye hicho kitabu atakuwa amefunguka vya kutosheleza, akija na zile story zake za alnacha wachambaji wapo full bandle.
 
tamasha limeshindwa kufanyika watu hamkwenda, mlivyotoka kwenye show ya dai mkaenda kupumzika kusubiri mpambano wa ndondi

Tamasha limefanyika vizuri sana. Watu wa heshima kuanzia mawaziri, wabunge, marais walikuwepo, Jumla ya shilingi milioni 720 zilipatikana kutokana na mauzo ya kitabu
 
Tamasha limefanyika vizuri sana. Watu wa heshima kuanzia mawaziri, wabunge, marais walikuwepo, Jumla ya shilingi milioni 720 zilipatikana kutokana na mauzo ya kitabu
acha uongo wewe, ni 72m zilipatikana tena nyingi ni ahadi cash ilikuwa kidogo mno hata 10% ya 72m haikufika,
halafu huyo sitti mbona hasemi kwanini alidanganya umri?
 
Anko Hashimu ni kama mtu aliyejitolea Figo ili kumnusuru mwenzake, kisha aliyepewa Figo anaendelea vizuri na mtoaji yupo hoi.

Wakati yeye Siti ameanza kutumia cheo cha muda alichogushi kujijenga, mwenzake Anko kupoteza kabisa imani ya kuendesha mashindano kwenye jamii.
 
Watz roho za kutu angekua bib wa kiganda sa iz ungewehuka kukitafuta
 
Acheni uchawi khaaa nanyie simtoe vyenu mkoje mnajidai wakamilifu wenye akil nyie wenye hela nyie ya watu myajue nyie nyie nan kwan huku dunian kafien mbeleeee uko
 
Acheni uchawi khaaa nanyie simtoe vyenu mkoje mnajidai wakamilifu wenye akil nyie wenye hela nyie ya watu myajue nyie nyie nan kwan huku dunian kafien mbeleeee uko

Puru mbona una jazba sana?
 
Tamasha limefanyika vizuri sana. Watu wa heshima kuanzia mawaziri, wabunge, marais walikuwepo, Jumla ya shilingi milioni 720 zilipatikana kutokana na mauzo ya kitabu

- Mhhhhh jamani ndio maana wametunga Sheria mpya maana ni watu kama wewe ndio mtashikwa mapema sana, mimi nilikuwepo pale Ukumbi wa Mliman City siku hiyo ulikuwa umegawanywa vipande viwili huku kwenye kitabu na mimi nilikuwa upande wa pili kulikuwa na harusi ya Kijana wa Familia ya Rais, Wabunge na MAwaziri walikuwa kwenye hii harusi sio kwenye kitabu, guys mispojirekebisha na haya mambo ya kuandika bila FACTS wala EVIDENCE yatawakuta mabaya sana soon badilikeni!!

- Huko kwenye kitabu kuna Waziri Mdogo mmoja alikujaa late kumpitia mke wake tu aliyekuwepo huko that is all, binafsi ninasubiri sana kukiona hicho kitabu cause naamini kuna mengi ya kuyarekebisha humo ndani yake!!

LE Mutuz
 
Taarifa ya aliyekuwa Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu, kwa vyombo vya habari leo imeeleza kuwa, Sitti atazindua kitabu kinachoelezea faida na hasara ya mitandao ya kijamii.

Amesema pamoja na kwamba mitandao ya kijamii ikitumiwa vizuri, huleta mapinduzi ya kimaendeleo ya kihabari kwa haraka.

Amesema maudhui yaliyopo katika kitabu hicho ni yanamlenga yeye moja kwa moja kama mhusika na kwamba pamoja na maumivu na athari azipatazo mhusika kitaelezea ni kwa jinsi gani ataweza kujifunza na kunyanyuka upya.

Mei 2, 2015 mwaka huu pia uzinduzi wa kitabu hicho utaenda sambamba na uzinduzi wa 'Taasisi ya Sitti Tanzania' yenye lengo la kusaidia watu wenye shida na kuweza kuendeleza gurudumu la maendeleo Tanzania.

Itakumbukwa sakata la Sitti kudaiwa kuwa ameghushi cheti cha kuzaliwa liliibuka kwenye kwa kasi mwaka jana kwenye mitandao ya kijamii, hali iliyozifanya mamlaka husika kuanza kufuatilia uhalali wa cheti chake cha kuzaliwa....hadi pale alipojivua taji alilokuwa amevishwa baada ya kushinikizwa na watu mbalimbali kuwa aachie taji hilo kwa kile kilichoitwa ni kukosa uaminifu na kukosa sifa ya kushikilia nafasi hiyo.

=========

Sitti Mtemvu kuzindua Taasisi, Kitabu na Kipindi chake cha TV May 2

Aliyewahi kuwa Miss Tanzania 2014 na baadaye kulivua taji lake, Sitti Mtemvu, anatarajia kuzindua taasisi yake ya ‘Sitti Tanzania', kitabu chake na kipindi cha TV kiitwacho ‘Chozi la Sitti.'

11084851_847979435267838_654524946_n.jpg


Uzinduzi huo utafanyika May 2 kwenye ukumbi wa Mlimani City na utapambwa na burudani kutoka kwa Yamoto Band.

Chanzo
: Bongo5
rest in peace dotto dah moyo umeniuma halafu ghafla nikakumbika na mie kuna siku nitalala jenezani khaaaaaaa hii adhabu ya kifo mmmh
 
Back
Top Bottom