Sitti Mtemvu kuzindua Kitabu cha 'Chozi la Sitti'

Sitti Mtemvu kuzindua Kitabu cha 'Chozi la Sitti'

Ana mapungufu yake Kama binadamu kwani hakuna mtimilifu,kwa alichofanya Si kitu kibaya,tumejificha nyuma ya keyboad zetu na tuna machafu mengi tukiyafanya Siri zetu...hebu tukue kidogo wakuu!...
 
Watu wametulia anataka kuwaamsha hilo chozi lisiwe kuhusu miss tanzania
 
Yaani kuandamwa kwa muda mfupi tu mitandaoni tena kwa jambo la kweli analia, je hao wanaosemwa vibaya kila kukicha toka wamekuwa mastaa some years back waandike vitabu vingapi
 
kwanza asema unri wake wa kweli ni upi alafu ndio tutanunua iko kitabu

#Zitto
 
Aliyekuwa miss Tanzania na kuvuliwa taji sitti mtemvu ametoa kitabu kinachoitwa "chozi la sitti" kinachohusu matumizi mabaya ya mitandao
Source Chanel ten

Duh hana aibu kama ndio sababu,
Angeandika juu ya kukanya kudanganya na jinsi alivyodakwa kwa kudanganya wananchi baada ya kuhonga pesa.
 
Lazima hicho kiingilio watu wapewe vitabu bure.

Anahitaji pesa za matimizi pia...plan yake mitandao ilimuharibia...mmmjh nasinzia
 
Lazima hicho kiingilio watu wapewe vitabu bure.

Anahitaji pesa za matimizi pia...plan yake mitandao ilimuharibia...mmmjh nasinzia

Akaja......be mbele huko........asituletee hapa........
 
Anatafuta nini? Anamaliza pesa za mfuko wa jimbo wa baba yake!! Angepumzika tu!! Atashangaa negative response!!
 
Wala hakuna mvuto kabisa ndani yake........sidhani kama nitaweza kufungua hata ukurasa mmoja wa hicho kitabu........

Ikibidi watanzania tupunguze chuki natuache roho za kwanini.
 
Anko lunde hao mamisizee kama vipi mwakani namleta bibi yangu nae agombee....vuvula
 
Watu wengine bana hata haya hawana eti chozi. Kwanza ilibidi awe lupango
 
Kabla hujazindua kitabu mwambie baba yako akupeleke kwenu Mkuyuni Morogoro ukawaone wazee kwanza na uzuru kaburi la Abdu Bonge. Usisahau kupata baraka za chifu wenu Kingalu mwana Banzi na kisha uje kwetu sisi.
 
Wala hakuna mvuto kabisa ndani yake........sidhani kama nitaweza kufungua hata ukurasa mmoja wa hicho kitabu........

Watanzania tutafika kweli kwa style hii ya kuwa na roho ya kichawi kwani unalazimishwa kusoma hicho kitabu?
 
Labda atakua amehonga wanaomtangazia redioni kiaina kama tiketi bure etc ili aonyeshe yupo juu kumbe ndio mazoea...kama kawa
 
Back
Top Bottom