mzurimie
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 6,143
- 3,627
Ana mapungufu yake Kama binadamu kwani hakuna mtimilifu,kwa alichofanya Si kitu kibaya,tumejificha nyuma ya keyboad zetu na tuna machafu mengi tukiyafanya Siri zetu...hebu tukue kidogo wakuu!...
Hivi nawe umejiona umeandika kutofautisha nyuma ya keyboard na siti kutaka kuoata hasichostahili kinachousisha watanzania...mmmh
Asioomtaja Le Mutuz basi tena maana inabidi amashukuru pia kwa waliomfikisha alipo na kuvua taji....aibu pia juu....