OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,575
Husisitizi kwa kurudia neno lile lile, ni lugha mbovu isiyo na ubunifu, matatizo haya ya kujieleza yametamalaki zaidi kwa sisi wa dunia ya tatu.
Anhaaaa!!!!
Husisitizi kwa kurudia neno lile lile, ni lugha mbovu isiyo na ubunifu, matatizo haya ya kujieleza yametamalaki zaidi kwa sisi wa dunia ya tatu.
nitakuambia nikiwa online kipande ya pili besti...
mishe mishe niaje lkn...??
Mishe mishe poa alhamdullilah.
Haya nakusubiri.
Umemuona sitti alivyovaa ccm?
Huyu Bibi bomba mpaka sasa amequalify kuwa mbunge wa viti maalumu kupitia CCM.
Habari za jioni watanzania wenzangu, kutokana na kuwa nimekuwa nikisemwa sana, maneno mengi yasio na tija juu ya hili taji la umiss tanzania 2014,,,mpaka kupelekea nisiwe na amani na uhuru ndani ya nchi yangu tanzania, kwa roho safi nimeamua mwenyewe kujivua taji hilo na kuacha wanaye ona anastahili taji hili apewe ili niendelee na maisha yangu kwa amani ,isiwe shida sana kwani sitegemei taji hili ili kuishi!!
![]()
![]()
![]()
...
......Hii kwa magamba inawezekana kitu inabumbabumbwa upyaa ikija jukwaani tunasema kinda !!!
![]()
....
We jamaa vipi wewe!!?? Kumbe hata wewe una lugha mbovu.
Hujui maana ya maneno "neno lile lile".
Ni wapi niliporudia "neno lile lile"?
Anhaaaa!!!!
This Sitti chick has got to be the dumbest girl to come down the pike in years.
I mean, what kinda grades did she get in college (if at all she went to college)?
Because she is acting real dumb right about now.
Her refusal to fess up to her lies is an affront to our common-sense sensibilities.
Does she think we are all stupid as she is or something?
I just hope she goes away and we never get to see her lying ass again.
Stupid dumb bitch.
Kumekucha hapa,...hapa yupo mtaalamu wa lugha...pale yupo mtaalamu wa "maneno".
Niaje Tiger?
Eti 'stupid' na 'dumb' ni neno lile lile?
Naona wabongo mmepata miss kibangulile...ile mizigo yetu sheikh...hatari sana!!!
Sitti anabaguliwa kwa sababu si wa dini pendwa. WAGALATIA punguzeni wivu mbona nchi hii mmeifaidi sana toka Uhuru leo hii Sitti kushinda Miss Tanzania imekuwa Nongwa?
Sitti anabaguliwa kwa sababu si wa dini pendwa. WAGALATIA punguzeni wivu mbona nchi hii mmeifaidi sana toka Uhuru leo hii Sitti kushinda Miss Tanzania imekuwa Nongwa?
Ukisema mtu ni "stupid dumb" unachekesha kwa sababu huwezi kuwa dumb usiwe stupid, umerudia maana ile ile, lugha mbovu. Lakini ukisahihishwa haina maana kwamba anaekusahihisha ya kwake hayana mabovu, usimshambulie anaekukosoa, jifunze songa mbele.Ni wapi niliporudia "neno lile lile"?