Sitti Abbas Ajiuzulu U miss mwenyewe

Sitti Abbas Ajiuzulu U miss mwenyewe

Habari za jioni watanzania wenzangu, kutokana na kuwa nimekuwa nikisemwa sana, maneno mengi yasio na tija juu ya hili taji la umiss tanzania 2014,,,mpaka kupelekea nisiwe na amani na uhuru ndani ya nchi yangu tanzania, kwa roho safi nimeamua mwenyewe kujivua taji hilo na kuacha wanaye ona anastahili taji hili apewe ili niendelee na maisha yangu kwa amani ,isiwe shida sana kwani sitegemei taji hili ili kuishi!!
10698482_545419468891088_2348298679327464418_n.jpg
1653300_545429888890046_5897448267370661222_n.jpg
10678676_853915514649166_8219695626059995718_n.jpg

Kubali yaishe Miss CCM Tanzania, Bibi Bomba, macowbell yamekuanika, na mtoto Wako umemsaliti!!
 
Habari za jioni watanzania wenzangu, kutokana na kuwa nimekuwa nikisemwa sana, maneno mengi yasio na tija juu ya hili taji la umiss tanzania 2014,,,mpaka kupelekea nisiwe na amani na uhuru ndani ya nchi yangu tanzania, kwa roho safi nimeamua mwenyewe kujivua taji hilo na kuacha wanaye ona anastahili taji hili apewe ili niendelee na maisha yangu kwa amani ,isiwe shida sana kwani sitegemei taji hili ili kuishi!!
10698482_545419468891088_2348298679327464418_n.jpg
1653300_545429888890046_5897448267370661222_n.jpg
10678676_853915514649166_8219695626059995718_n.jpg

Tulioliwa fedha zetu pale Mlimani City itakuwaje?

Lundega plse utu refund kwa kutuhadaa!
 
Habari za jioni
watanzania wenzangu, kutokana na kuwa nimekuwa nikisemwa sana, maneno
mengi yasio na tija juu ya hili taji la umiss tanzania 2014,,,mpaka
kupelekea nisiwe na amani na uhuru ndani ya nchi yangu tanzania, kwa
roho safi nimeamua mwenyewe kujivua taji hilo na kuacha wanaye ona
anastahili taji hili apewe ili niendelee na maisha yangu kwa amani
,isiwe shida sana kwani sitegemei taji hili ili kuishi!!
10698482_545419468891088_2348298679327464418_n.jpg
1653300_545429888890046_5897448267370661222_n.jpg
10678676_853915514649166_8219695626059995718_n.jpg

mbona kawa bonge sana
 
Mnajua wakuu,wanadamu siku hizi wanakua sana?Anaweza akawa hadanganyi mjue!(jus bluffing with a laughter)



Inawezekana kwani siku hizi wasichana wengi wanakunywa zile juice zilizochanganywa dawa za kukuza kuku hili wapate fursa ya kuchezewa na Lundenga. Yote hii ni tamaa ya kutaka kutanua na gari mjini na kupata bahati ya kutongozwa na wabunge ama mapeshee wa unga wapate kutoka na kujisifia kwa wenzao. Sheeder.
 
She is a fool,she could have denied everything but not a kid
 
Makaura huyo ni Sitti mwenyewe au uzushi wako?...maana umejaaliwa kwa uzushi..angekuwa ni yeye tayari tungeona breaking news radio one au channel ten....ACHA UZUSHI
Habari za jioni watanzania wenzangu, kutokana na kuwa nimekuwa nikisemwa sana, maneno mengi yasio na tija juu ya hili taji la umiss tanzania 2014,,,mpaka kupelekea nisiwe na amani na uhuru ndani ya nchi yangu tanzania, kwa roho safi nimeamua mwenyewe kujivua taji hilo na kuacha wanaye ona anastahili taji hili apewe ili niendelee na maisha yangu kwa amani ,isiwe shida sana kwani sitegemei taji hili ili kuishi!!
10698482_545419468891088_2348298679327464418_n.jpg
1653300_545429888890046_5897448267370661222_n.jpg
10678676_853915514649166_8219695626059995718_n.jpg
 
Huyu dada kajidhalilisha sanaa.
I hop wengine hawatarudia tena.
CCM haina mwema hata mmoja,kila mahala wanafanya wizi,uwongo,ujinga.
Ni sauti za watz zimemfanya ajiuzulu,vivyo hivyo tuanze kupigia kelele maswala ya msingi zaidi.

Una akili wewe dah cjui kwa nini ucpewe hata Hui nchi uiendeshe hata kwa licku limoja tu!
Big up ni kwelii hizi kelele zisiishie kwa sitti tu tuendelee nazo watajiuzulu wengi.
 
Makaura huyo ni Sitti
mwenyewe au uzushi wako?...maana umejaaliwa kwa uzushi..angekuwa ni yeye
tayari tungeona breaking news radio one au channel ten....ACHA
UZUSHI

siti mwaka huu utakoma maana watu wana kila information yake? dah uongo mbaya
 
nimeongeza kwa msisitizo tu na nikijisikia kuongeza nitaongeza tena.

Una jingine?
Husisitizi kwa kurudia neno lile lile, ni lugha mbovu isiyo na ubunifu, matatizo haya ya kujieleza yametamalaki zaidi kwa sisi wa dunia ya tatu.
 
Habari za jioni watanzania wenzangu, kutokana na kuwa nimekuwa nikisemwa sana, maneno mengi yasio na tija juu ya hili taji la umiss tanzania 2014,,,mpaka kupelekea nisiwe na amani na uhuru ndani ya nchi yangu tanzania, kwa roho safi nimeamua mwenyewe kujivua taji hilo na kuacha wanaye ona anastahili taji hili apewe ili niendelee na maisha yangu kwa amani ,isiwe shida sana kwani sitegemei taji hili ili kuishi!!
10698482_545419468891088_2348298679327464418_n.jpg
1653300_545429888890046_5897448267370661222_n.jpg
10678676_853915514649166_8219695626059995718_n.jpg

Is this a joke or what!
 
Husisitizi kwa kurudia neno lile lile, ni lugha mbovu isiyo na ubunifu, matatizo haya ya kujieleza yametamalaki zaidi kwa sisi wa dunia ya tatu.

We jamaa vipi wewe!!?? Kumbe hata wewe una lugha mbovu.

Hujui maana ya maneno "neno lile lile".

Ni wapi niliporudia "neno lile lile"?
 
Back
Top Bottom