Ilisolokobwe
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 1,865
- 833
tunaomba chanzo cha habari hii
Matatizo yetu ya kila siku ya kujieleza ya Mtanzania, kama alivyoyaonyesha Sitti Abbas kwenye mkutano na waandishi.Stupid dumb
Kumbe ni gamba mashuhuri eeh
Matatizo yetu ya kila siku ya kujieleza ya Mtanzania, kama alivyoyaonyesha Sitti Abbas kwenye mkutano na waandishi.
Ukishasema mtu ni "dumb" huongezi maana yeyote kwa kusema mtu huyo pia ni "stupid" kwa sababu huwezi kuwa "dumb" usiwe "stupid."
Kumbe ni gamba mashuhuri eeh
Hivi huyo mama hana aibu!. Sura ilivyomkomaa vile eti miss!.
Matiti yamelala kabisaaa kuonesha kuwa amewahi kunyonyesha. Shame on her
sura imemkomaa kama jiwe la kuvunjia nazi...
Ingekuwa nchi za watu huyo ajuza saaizi angekuwa rumande kwanza wkt ujunguzi unaendelea
eti banaa...ziwa limelala kama tembele lililokosa maji
Wewe unaishi pande ipi ya dunia!?Ingekuwa nchi za watu huyo ajuza saaizi angekuwa rumande kwanza wkt ujunguzi unaendelea
Ha ha ha haa...wakwetu umenifuma! Si unajua tena week end hii, hakuna kulala. Raha jipe mweyewe.Wa kwetu sitaki kuamini huu muda uliopost ndio ulikuwa unarudi home kutoka Nyams Choma Jembe ni jembe...