Sitti Abbas Ajiuzulu U miss mwenyewe

Sitti Abbas Ajiuzulu U miss mwenyewe

Hivi huyu mama hana haibu kweli? Sura imekomaa, miziwa imelala dizaini ya kuchoka, leo hii ana miaka 18? Jamani Lundenga ana dhambi, sijuwi hii hongo ya ngono ataacha lini kwa watoto wa watu.
Hii mada siyo yetu wengine wanawake mnajuana mpaka maziwa yalivyo endeleeni.
 
jamani watanzania tumechokwa kudanganywa kwenye siasa hadi kwenye umiss jaman loh...bibi bomba hebu achia hilo taji yan sura imekukomaa utafkiri mpigania uhuru...rudisha taji kalee mume na mtoto wanahitaji malezi bora
 
Mnajua wakuu,wanadamu siku hizi wanakua sana?Anaweza akawa hadanganyi mjue!(jus bluffing with a laughter)
 
RITA kwa nini hawatoi tamko maana wao wanatuhumiwa kwa kutoa cheti fake. Nijuavyo mimi ukipoteza cheti cha kuzaliwa kuna utaratibu cha kupata kingine kwa taarifa zile zile maana hazitakiwi kubadilika. Sijui na sitakaa nielewe eti upoteze cheti halafu upewe kipya na taarifa tofauti. Ha ha ha. RITA mnalo.
 
Habari za jioni watanzania wenzangu, kutokana na kuwa nimekuwa nikisemwa sana, maneno mengi yasio na tija juu ya hili taji la umiss tanzania 2014,,,mpaka kupelekea nisiwe na amani na uhuru ndani ya nchi yangu tanzania, kwa roho safi nimeamua mwenyewe kujivua taji hilo na kuacha wanaye ona anastahili taji hili apewe ili niendelee na maisha yangu kwa amani ,isiwe shida sana kwani sitegemei taji hili ili kuishi!!
10698482_545419468891088_2348298679327464418_n.jpg
1653300_545429888890046_5897448267370661222_n.jpg
10678676_853915514649166_8219695626059995718_n.jpg

Kubali yaishe Miss CCM Tanzania, Bibi Bomba, macowbell yamekuanika, na mtoto Wako umemsaliti!!
 
Huyu dada kajidhalilisha sanaa.
I hop wengine hawatarudia tena.
CCM haina mwema hata mmoja,kila mahala wanafanya wizi,uwongo,ujinga.
Ni sauti za watz zimemfanya ajiuzulu,vivyo hivyo tuanze kupigia kelele maswala ya msingi zaidi.
 
This Sitti chick has got to be the dumbest girl to come down the pike in years.

I mean, what kinda grades did she get in college (if at all she went to college)?

Because she is acting real dumb right about now.

Her refusal to fess up to her lies is an affront to our common-sense sensibilities.

Does she think we are all stupid as she is or something?

I just hope she goes away and we never get to see her lying ass again.

Stupid dumb bitch.
.

Nsengehuyu mpotezee NG
Natambuauwepowako
 
...

......Hii kwa magamba inawezekana kitu inabumbabumbwa upyaa ikija jukwaani tunasema kinda !!!


10678676_853915514649166_8219695626059995718_n.jpg

....
 
Mmmh kajistukia
 

Attachments

  • 1414310236897.jpg
    1414310236897.jpg
    69.9 KB · Views: 465
Jamani chips mayai zinakuza sana,Sitti ana miaka 18 ati!!!! tehe tehe tehe
 
Back
Top Bottom