Sitta: Warioba amejitakia mwenyewe

Sitta: Warioba amejitakia mwenyewe

Kwani ni kipi ambacho ameongea Jaji Warioba ambacho ni kibaya kwa Watanzania? Kila mtu amesikia aliyoongea, nyie mnaopinga yeye kutoa maoni yake haya wekeni jamvini Watanzania wajue ni nini kibaya
 
Kutakuwa na elimu ya ujraia kwa umma na kila kundi litashiriki kuitoa elimu hiyo na fedha zim eshatolewa na UNDP..sasa kinachofanyika ni kwa kina Warioba kukimbilia kuwadanganya wananchi kuwa rasimu imetupwa badala ya kutoa elimu ya uraia kupitia makundi husika...Taasisi ya mwalimu Nyerere sio kundi husika hivyo wao wangetulia au wangefanya midahalo yao bila kuwaalika akina Warioba.

Msiwapangie wananchi waacheni wamsikilize wanayemtaka hayo makundi yenu yaje watayasikiliza pia na kuchagua zipi mbivu na zipi mbichi kwani daima chema hujiuza ila kibaya hujitembeza mnayofanya na mabango yenu ni kujitembeza na kitakachofuata mtaambulia mkong'oto kwenye huko kujitembeza kwenu
 
Huu mpango kauuandaa huyohuyo 6 sasa mim nashindwa kuelewa kwanin chama changu hakimxhlii htua
 
Warioba anatakiwa ajiunge na chama au kundi la jamii linalotambulika ili awashawishi wananchi wapige kura ya hapana lakini asitumie hoja kwamba yale aliyoyaweka yeye ndiyo yalikuwa sahihi na yaliyowekwa na bunge sio sahihi. na asiwadanganye wananchi kuhusu maadili na kumwajibisha mbunge kwani angezingatia gharama na muda angeelewa kuwa kama maoni yake yangekubalika basi yule anayeshindwa kazi yake inakuwa kumtengenezea fitina yule aliyeshinda hivyo hakutakuwa na shughuli za maendeleo zaidi ya kunyang'anyana madaraka. Mshauri Warioba asajili chama kwani ni yeye aliyeandika kwenye katiba kuwa chama cha siasa ndicho kitaelimisha raia kuhusu uraia.
Laiza kama mnamtaka Warioba awe kimya vipi JK na kelele za kupiga kura ya ndiyo ? Je hatikiwi kuachia wananchi ?
 
Njaa zitakufanya wewe uingiliwe kwani unashabikia uvunjifu wa sheria...ungewashauri hao unaowateteta wapeleke hoja zao kwenye vikao vya bunge zijadiliwe na kumbukumbu ziwekwe na sio kumnunua warioba awasemee

usitokwe na povu mkuu mjadala ulikuwa halali na ulitimiza vigezo vyote vya kisheria shida ni jazba za ccm kwa kuwa mnapenda kusikia tu yale mnayoyataka na kuyaamini kama vile ndio wenye haki miliki ya nchi hii tambueni kuwa umma umeamka na uozo wenu uko wazi kwa kila mtu
 
Alizomewa...halafu wewe pekeyako ukapata habari...hata magazeti yote ya siku yaliyokuwa na waandishi wao kule waiswe na habari....anyway kama alizomewa basi Waliomzomea walikuwa wafuasi wenu ambao mliwaandaa wazomee ili tu mjitengenezee mazingira ya kunyakua kiti cha Urambo..lakini mmegundulika na endeleeni kuwanunulia vijana viroba na kuwaambia wakae mbele kwenye mikutano ya CCM ili wazomee...lakini hamtashinda.
Huyo Sitta wako ni vema ukamuuliza ilikuwaje akazomewa ile siku ya kuzima Mwenge kule Tabora baada ya kusimamishwa na JK asalimie.
 
Sitta na ccm yake walifanya lini upembuzi au maoni kujua wananchi waliowengi wameikubali? Au ni propaganda ya maandalizi ya kile walichokusudia kufanya wananchi watakapotoa maoni yao ya kweli?

Sasa ninyi nyote mnaojiita great thinkers wa JF nitawashangaa mtakapoacha kupiga kura wakati wa maoni ili kutetea kile mnachoamini na kisha kulinda kura zenu
 
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samwel Sitta amesema kilichomkuta aliyekuwa Mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya Katiba jana ni sawa na kujitakia mwenyewe.

Akihojiwa muda mfupi uliopita na Redio Voice of Tabora kuhusu maoni yake kwa vurugu kubwa iliyoongozwa na Paul Makonda jana, Mzee Sitta amesema kimsingi wananchi walio wengi wanaunga mkono Katiba pendekezwa.

Mzee Sitta amesema Jaji Warioba anapaswa kutulia kwani akiendelea anaweza kuaibishwa kuliko aliyofanyiwa jana pale Ubungo blue pearl.

Mzee Sitta amemtaka Warioba awaachie wananchi Katiba pendekezwa waamue wenyewe kwa njia ya kura.Sitta ameendelea kusema watanzania wa sasa siyo wajinga na wakikuona unawadanganya watakuvamia hapohapo.Amedai uelewa wa wananchi kwa sasa ni mkubwa kuliko wakati mwingine wowote.

Alipoulizwa swali kuhusu Uvumi kwamba yeye ndiye anamfadhili na kumtuma Paul Makonda kupambana na yeyote anayempinga Mzee Sitta amecheka na kusema hatajibu hilo swali.

Atajibuje wakati hiyo ndiyo dhamira yake? Anaposema wananchi waachiwe kwani Warioba na wale waliokusanyika pale si wananchi? Wananchi ni kina nani?Hizo katiba kijijini kwangu hawajafikishiwa hadi sasa. Watajuaje hao wananchi? Mdahalo unaorushwa hewani ndio dawa kuu ya kuwaelimisha wananchi hao anawatamka Sitta. J.in.g.a kabisa zee hili la tbr
 
Warioba anatakiwa ajiunge na chama au kundi la jamii linalotambulika ili awashawishi wananchi wapige kura ya hapana lakini asitumie hoja kwamba yale aliyoyaweka yeye ndiyo yalikuwa sahihi na yaliyowekwa na bunge sio sahihi. na asiwadanganye wananchi kuhusu maadili na kumwajibisha mbunge kwani angezingatia gharama na muda angeelewa kuwa kama maoni yake yangekubalika basi yule anayeshindwa kazi yake inakuwa kumtengenezea fitina yule aliyeshinda hivyo hakutakuwa na shughuli za maendeleo zaidi ya kunyang'anyana madaraka. Mshauri Warioba asajili chama kwani ni yeye aliyeandika kwenye katiba kuwa chama cha siasa ndicho kitaelimisha raia kuhusu uraia.

Upeo mdogo kila raia ana haki ya kutoa maoni yake bila kuwa chini ya kundi au chama chochote na anachotetea warioba ni maoni ya wananchi ili hali ccm mnatetea msimamo wa chama ambao unawalinda watawala na kuwanyima wananchi fursa ya kuwawajibisha viongozi wabovu, hivi inakuingia akilini rais kuwaomba wezi wa mabilioni ya umma warudishe ili hali serikali yake ikijaza magereza kwa wezi wa kuku
 
Kwani ni kipi ambacho ameongea Jaji Warioba ambacho ni kibaya kwa Watanzania? Kila mtu amesikia aliyoongea, nyie mnaopinga yeye kutoa maoni yake haya wekeni jamvini Watanzania wajue ni nini kibaya
Mkuu hawana hoja wanachojua ni kashfa na matusi waliyokaririshwa na watawala
 
kweli wewe bongolala....akili mgando unayo wewe na ndio maana umejitambulisha kama bongolala..mjadala wa uwazi una kanuni zake lakini sio kushikilia tu kuwa kile alichoandika yeye ndiyo sahihi. Kulikuwa na vichwa zaidi ya 450 pale bungeni na vingi vilikuwa vimebobea katika sheria sasa mbona warioba hataki kukubali kuwa sauti ya wengi ni sauti ya Mungu???
Kwani Warioba sii mtanzania?akili mgando msiyo taka mambo kujadiliwa kwa uwazi mmezoea zidumu fikra sahihi za mwenyekiti hata kama ni utumbo
 
Fujo aliifanya au waliifanya wale waliokwenda kuwanyang'anya mabango wale vijana na kuwapiga na kuwarushia viti...angalia video zitakuonyesha ni kina nani waliokuwa wakirusha viti na kupiga watu..kama wangewaacha wale vijana na mabango yao nao wakaendelea kutoa pumba zao bila shaka mdahalo ungeisha salama..Napata mashaka na umafia wa Butiku kwani yawezekana kabisa kuwa amewaandaa vijana hao halafu akawaandaa na wengine ili vurugu zitokee apate kuitusi serikali...Vinginevyo nilitazamia kuwa angeliomba ulinzi mapema na kawaweka vijana wake milangoni, lakini alijua kuwa angeweka ulinzi mahudhurio yangekuwa hafifu naye alitaka ajaze watu.
Na ninyi mnapowaambia watanzania kuwa katiba ni nzuri muipigie kura ya ndiyo mnakuwa mnamaanisha kuwa hawana akili ya kuamua wenyewe? Acha awaelimishe wale wanaotaka kusikia, kama hutaki kaa nyumbani au nenda kafanye unayoyaona ni ya maana. Unatoka huko ulikotoka na mabango kuonyesha kuwa hauungi mkono kisha unafanya fujo, umeitwa na nani? Hivi ninyi watu kwa nini ni wapumbavu namna hiyo? Tutaona mwisho wake tu. Huu ujinga ipo siku utakoma na ninyi mnaoshabikia tutakuwa pamoja tu maana Tanzania iko moja, hakuna ya kwako wala ya kwangu. Vurugeni amani tu lakini taabu zikianza tutazioga sote.
 
Kwa nini wanataka anyamaze?? Kuna ubaya gani sisi tukimwomba mzee atuelezee baadhi ya vitu ambavyo tunataka kivielewa zaid,

Ni hiv sasa hiv wananchi tunajiandaa kupiga kura, ili tuweze fanya hivyo tunahitaj kuwa na taarifa sahihi ,sasa Kuna ubaya gani Warioba akitusaidia kutuelewesha muono wa tume yake juu ya mambo mbalimbali ya katiba pendekezwa, na Kuna ubaya gan pia S.Sitta nae akitutolea ufafanuz wa yale Bunge limepitisha?

Ishu ni kwamba kwa nini hawataki Mzee Warioba aongee??
 
Ndugu yangu Laiza upo kishabiki zaidi. Pale watu walikuwa wanajadiliana sasa mabango yanahusika vipi pale kama siyo uhuni? Hebu tuache ushabiki wa vyama na tujadili hoja kama watanzania. Pia ni wapi Warioba aliongea kwamba yalioandikwa na tume yake yalikuwa sahihi kuliko ya BMK? Yeye alikuwa anajaribu kulinganisha ya BMK na ya tume na kuacha waTZ wenyewe tudadavue
 
Uzushi mwingine huo..Warioba anatetea maoni gani ya wananchi?? yale ya serikali ya mkataba yapo? yale ya mabaraza ya kata yapo? yale ya wakulima na wafugaji yapo?? au unaota ndoto ya mchana..Warioba aliondoa maoni ya wananchi wengi akaweka maoni ya kikundi cha wachache..Zanzibar wengi walitaka serikali ya mkataba hakuiweka...tanzania bara ukiondoa kigoma na sehemu ya shinyanga na moshi sehemu zilizobaki wote walitaka serikali mbili na wengine hawakujadili kabisa muundo wa muungano...sasa hayo maoni ya wananchi ni yapi???Rais muungwana anaokoa kwanza fedha za umma halafu anawashitaki wahalifu na ndicho alichofanya Mheshimiwa Rais kwanza kuwaomba warejeshe na walirejesha tukaokoa mabilioni kadhaa na bado tukawashtaki na kuwafunga wengine..Wangeshtakiwa hivihivi wangeweza kutorosha hizo fedha nje ya nchi na wao wakakimbilia uhamishoni...Serikali haijajaza wezi wa kuku magerezani, tembelea upate takwimu, waliojaa ni majambazi ya kutumia silaha, wauzaji wa dawa za kulevya, wauaji, wahujumu uchumi na wahaini....UONGO WAKO HAUNA MASHIKO..JARIBU TENA BAADAYE
Upeo mdogo kila raia ana haki ya kutoa maoni yake bila kuwa chini ya kundi au chama chochote na anachotetea warioba ni maoni ya wananchi ili hali ccm mnatetea msimamo wa chama ambao unawalinda watawala na kuwanyima wananchi fursa ya kuwawajibisha viongozi wabovu, hivi inakuingia akilini rais kuwaomba wezi wa mabilioni ya umma warudishe ili hali serikali yake ikijaza magereza kwa wezi wa kuku
 
Ungetimiza vigezo ungekuwa na walinzi mle ndani na vijana wenu wasingeandaa fujo ili wawasingizie UVCCM..Hakuna jazba ya CCM kwani mjadala ulikuwa bado kuanza..Ingekuwa mjadala umeanza baada ya Warioba kumaliza kumzushia Nyerere na fujo ikafuata ndiyo ungesema jazba lakini vijana wenu waliowapiga wale waliobeba mabango na kuwarushia viti ndio walikuwa na jazba
usitokwe na povu mkuu mjadala ulikuwa halali na ulitimiza vigezo vyote vya kisheria shida ni jazba za ccm kwa kuwa mnapenda kusikia tu yale mnayoyataka na kuyaamini kama vile ndio wenye haki miliki ya nchi hii tambueni kuwa umma umeamka na uozo wenu uko wazi kwa kila mtu
 
Fujo aliifanya au waliifanya wale waliokwenda kuwanyang'anya mabango wale vijana na kuwapiga na kuwarushia viti...angalia video zitakuonyesha ni kina nani waliokuwa wakirusha viti na kupiga watu..kama wangewaacha wale vijana na mabango yao nao wakaendelea kutoa pumba zao bila shaka mdahalo ungeisha salama..Napata mashaka na umafia wa Butiku kwani yawezekana kabisa kuwa amewaandaa vijana hao halafu akawaandaa na wengine ili vurugu zitokee apate kuitusi serikali...Vinginevyo nilitazamia kuwa angeliomba ulinzi mapema na kawaweka vijana wake milangoni, lakini alijua kuwa angeweka ulinzi mahudhurio yangekuwa hafifu naye alitaka ajaze watu.

Hao vijana walioisoma na kuielewa katiba kama baadhi ya mabango yao yanavyosomeka walienda kufanya nini ukumbini? pale lilikuwa jukwaa kwa wale wanaotaka kujifunza zaidi kuhusu katiba mpya, sasa mlioisoma na kuielewa akiwemo Makonda aliyehusika kuiandaa na kuipitisha mlifuata nini? Hilo tu ukinipa jibu tunaweza kuanza mjadala. Kabla ya kujibu hilo usijisumbue, maana ukweli uko wazi. Makonda na vijana wake wamekwenda kwa lengo maalum tu la kuvuruga lile kongamano.
 
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samwel Sitta amesema kilichomkuta aliyekuwa Mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya Katiba jana ni sawa na kujitakia mwenyewe.

Akihojiwa muda mfupi uliopita na Redio Voice of Tabora kuhusu maoni yake kwa vurugu kubwa iliyoongozwa na Paul Makonda jana, Mzee Sitta amesema kimsingi wananchi walio wengi wanaunga mkono Katiba pendekezwa.

Mzee Sitta amesema Jaji Warioba anapaswa kutulia kwani akiendelea anaweza kuaibishwa kuliko aliyofanyiwa jana pale Ubungo blue pearl.

Mzee Sitta amemtaka Warioba awaachie wananchi Katiba pendekezwa waamue wenyewe kwa njia ya kura.Sitta ameendelea kusema watanzania wa sasa siyo wajinga na wakikuona unawadanganya watakuvamia hapohapo.Amedai uelewa wa wananchi kwa sasa ni mkubwa kuliko wakati mwingine wowote.

Alipoulizwa swali kuhusu Uvumi kwamba yeye ndiye anamfadhili na kumtuma Paul Makonda kupambana na yeyote anayempinga Mzee Sitta amecheka na kusema hatajibu hilo swali.

huyu sitta ni mzee mpuuzi na mjinga,ngoja na yeye aje kitaa tuta mnyoa ------ ya ------.
 
Uzushi mwingine huo..Warioba anatetea maoni gani ya wananchi?? yale ya serikali ya mkataba yapo? yale ya mabaraza ya kata yapo? yale ya wakulima na wafugaji yapo?? au unaota ndoto ya mchana..Warioba aliondoa maoni ya wananchi wengi akaweka maoni ya kikundi cha wachache..Zanzibar wengi walitaka serikali ya mkataba hakuiweka...tanzania bara ukiondoa kigoma na sehemu ya shinyanga na moshi sehemu zilizobaki wote walitaka serikali mbili na wengine hawakujadili kabisa muundo wa muungano...sasa hayo maoni ya wananchi ni yapi???Rais muungwana anaokoa kwanza fedha za umma halafu anawashitaki wahalifu na ndicho alichofanya Mheshimiwa Rais kwanza kuwaomba warejeshe na walirejesha tukaokoa mabilioni kadhaa na bado tukawashtaki na kuwafunga wengine..Wangeshtakiwa hivihivi wangeweza kutorosha hizo fedha nje ya nchi na wao wakakimbilia uhamishoni...Serikali haijajaza wezi wa kuku magerezani, tembelea upate takwimu, waliojaa ni majambazi ya kutumia silaha, wauzaji wa dawa za kulevya, wauaji, wahujumu uchumi na wahaini....UONGO WAKO HAUNA MASHIKO..JARIBU TENA BAADAYE

Nazidi kuona upeo wako mdogo hebu nijibu ccm maoni ya serikali mbili waliyatoa wapi? kama rais ni muungwana wa kuwasihi wezi wa EPA kwa nini asiwasihi wezi wa kuku wawarudishie wenyewe? serikali makini inaweza kuruhusu wezi wa mali ya umma kutorokea nje kama haijashiriki wizi huo? eti wezi wa EPA wamerudisha fedha za umma mkawashtaki na kuwafunga hawa walioachiwa kuwa hawana hatia? je sheria ya nchi inasemaje kuhusu mwizi? ama kweli serikali yetu ni dhaifu inaendeshwa na mafisadi. hao unaosema wako magerezani ni wahalifu wa ngazi ya chini mno huwezi kutuhadaa kwa kumfunga muuza kete ya unga wakati muingizaji wa makontena ya unga nchini unamsihi aache, huu ni ujuha
 
Uzushi mwingine huo..Warioba anatetea maoni gani ya wananchi?? yale ya serikali ya mkataba yapo? yale ya mabaraza ya kata yapo? yale ya wakulima na wafugaji yapo?? au unaota ndoto ya mchana..Warioba aliondoa maoni ya wananchi wengi akaweka maoni ya kikundi cha wachache..Zanzibar wengi walitaka serikali ya mkataba hakuiweka...tanzania bara ukiondoa kigoma na sehemu ya shinyanga na moshi sehemu zilizobaki wote walitaka serikali mbili na wengine hawakujadili kabisa muundo wa muungano...sasa hayo maoni ya wananchi ni yapi???Rais muungwana anaokoa kwanza fedha za umma halafu anawashitaki wahalifu na ndicho alichofanya Mheshimiwa Rais kwanza kuwaomba warejeshe na walirejesha tukaokoa mabilioni kadhaa na bado tukawashtaki na kuwafunga wengine..Wangeshtakiwa hivihivi wangeweza kutorosha hizo fedha nje ya nchi na wao wakakimbilia uhamishoni...Serikali haijajaza wezi wa kuku magerezani, tembelea upate takwimu, waliojaa ni majambazi ya kutumia silaha, wauzaji wa dawa za kulevya, wauaji, wahujumu uchumi na wahaini....UONGO WAKO HAUNA MASHIKO..JARIBU TENA BAADAYE

Acha ul.ofa wewe dunya na ccm yako hiyo akili kama kuku.
 
Back
Top Bottom